MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,050
- 359
Delete ccm
unaota ndoto, ccm c wa kuchezea kwenye finishing, Magogoni ma mvi atapasikia tuu
Delete ccm
Hamia kwingine. Kwani lazima ITV tuu. Ebo
Chama twawala mmeanza kulialia..na bado.. hivi magufuli yuko wapi?
Mkuu mbona unalilia kwani wewe umejipangaje? Kama wewe unahadaiwa na picha za kutengeneza kawambie na wagombea wengine nao watengeneze za kwai ili wakuhadae pia!Ukitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.
Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.
Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.
Delete ccm
Ukitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.
Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.
Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.
oktoba ni mbali mkuu asubili tarehe 9 watakapoanza kumtambulisha mgombea wa UKAWA ndo watakoma kulinga.Baado Ccm hamjalia subirini october mtalia lia vizuri
wewe ni muongo. na makongoro mahanga ameenda chadema. mtakubali tuUkitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.
Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.
Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.
Usijifanye ww n wa, zaman sana au ni mtoto sana kiasi kwamba hujui kuwa helicopter hutua popoteHizi fix hazijaanza leo, wakati wakionyesha alivyowasili Mbeya kwenye kusaka udhamini wa ccm picha zilizowekwa hazikuwa za mbeya zilikuwa za mwanza hapo ndo nikaanza kuchunguza kwa umakini hizi taarifa za ITV
Wakati wa kusaka wadhamini ndani ya ccm alikuwa anatumia usafiri wa ndege lakini wakasema kapita mikoa yote 31 wakati mikoa mingine haina uwanja wa ndege aliruka kwa ungo
Usijifanye ww n wa, zaman sana au ni mtoto sana kiasi kwamba hujui kuwa helicopter hutua popote