ITV Mnatutengenezea maigizo ya Lowasa

ITV Mnatutengenezea maigizo ya Lowasa

Hamia kwingine. Kwani lazima ITV tuu. Ebo

Sasa Kama Hata Hiyo Tv Yenyewe Anaiangalia Kwa Mtu ( Jirani ) Na Mwenyenayo KAITEGESHEA ITV Tu Na Umwambii Kitu Unadhani Atahamia Wapi Mkuu? Jamaa Hana Jinsi Na Inabidi Aunyuti Tu Kimtindo.
 
Chama twawala mmeanza kulialia..na bado.. hivi magufuli yuko wapi?

Magufuli Sasa Anapanga Cabinet Yake Na Huku Akifanyishwa Mazoezi Ya Kuapishwa Na Kukagua Gwaride La Heshima La Makabidhiano Ya Utawala Kutoka Kwa Rais Kikwete Na Tayari Imeshajulikana Ugeni Wake Wa Kwanza Ni Kumpokea Rais Wa Urusi Mwanamume Vladmir Putin Mwezi November Mwishoni au December Katikati Huku Mwezi Wa Kwanza Akihudhuria Kwa Mara Ya Kwanza Mkutano Mkuu Wa UN. Magufuli Anafananishwa Na Lionel Messi " La Pruga " Huku Lowassa Wenu Akifananishwa Na Christiano Ronaldo. Chambua Hapo Utajua Nani Yuko Juu Ya Mwenzake Kwa Sifa Zote ZILIZOTUKUKA Za Kiuchezaji. Na Nasikia NEC Sasa Wanataka Kuja Na Kigezo Cha UPIMWAJI AFYA Kwa WAGOMBEA URAIS WOTE Nchini Tanzania Kutoka Kwa Jopo La MADAKTARI Bingwa Duniani Huku Pia NEC Hao Hao Wakifikiria Kuwepo Na MDAHALO Wa WAGOMBEA URAIS Ambapo Kila Mgombea Urais Atapewa Dakika 75 Za Kusimama Katika Podium Na Kuzungumza, Kumwaga Sera Na Kujibu Maswali Ya Waandishi Wa Habari WALIOBOBEA Na KUTUKUKA Na Kama Itakuwa Ni Kweli Naona Mgombea Wenu Lowassa ATAKAVYOCHOMOA. Kupimwa AFYA Na Kusimama Dakika 75 Kwa Lowassa Ni ADHABU Kubwa Kwake Kama Kumwambia Apande Mlima Kilimanjaro Kifua Wazi.
 
Ukitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.

Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.

Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.
Mkuu mbona unalilia kwani wewe umejipangaje? Kama wewe unahadaiwa na picha za kutengeneza kawambie na wagombea wengine nao watengeneze za kwai ili wakuhadae pia!
 
Malimao ni mazuri Kwa kinachokusumbua
 
Ukitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.

Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.

Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.

Hadithi yako inatufundisha nn???
 
Ukitizama kwa umakini taarifa ya ITV wakati Lowasa anachukua form na anaporudisha form wahudhuriaji ni wale wale na aina ya mkao ni uleule na nguo walizovaa ni zilezile wakati ni matukio mawili tofauti yaliyofanyika siku tofauti, hivyo naamini hizi ni picha za kuengeneza.

Ukitizama picha zilizochukuliwa na wapita njia nakurushwa kwenye whatsap na facebook, msafara wa Lowasa ulikuwa na gari tatu tu Nissan patrol moja nyeusi na noah mbili nyeupe huku kundi dogo la waendesha bodaboda na wapiga debe wakilifuata kwa nyuma. Kumbuka siku za nyuma Lowasa alitoa fedha nyingi kwa hawa waendesha bodaboda na walikopeshana pikipiki hivyo kutoa fadhila ya kumpigia mahoni sio jambo geni.

Kama ndo staili hizi za kutengeneza picha sidhani kama zitazaa matunda ya maana, bora mambo yaachwe yafanyike kwa uhalisia wake. Kumbuka kule mwanza aliwafadhili wamachinga 30m wakaanzisha saccos na dio hao hao kila akija mza wanabebana kumpokea ili awaongezee mkwanja zaidi.
wewe ni muongo. na makongoro mahanga ameenda chadema. mtakubali tu
 
Hizi fix hazijaanza leo, wakati wakionyesha alivyowasili Mbeya kwenye kusaka udhamini wa ccm picha zilizowekwa hazikuwa za mbeya zilikuwa za mwanza hapo ndo nikaanza kuchunguza kwa umakini hizi taarifa za ITV.

Wakati wa kusaka wadhamini ndani ya ccm alikuwa anatumia usafiri wa ndege lakini wakasema kapita mikoa yote 31 wakati mikoa mingine haina uwanja wa ndege aliruka kwa ungo?
 
Hizi fix hazijaanza leo, wakati wakionyesha alivyowasili Mbeya kwenye kusaka udhamini wa ccm picha zilizowekwa hazikuwa za mbeya zilikuwa za mwanza hapo ndo nikaanza kuchunguza kwa umakini hizi taarifa za ITV


Wakati wa kusaka wadhamini ndani ya ccm alikuwa anatumia usafiri wa ndege lakini wakasema kapita mikoa yote 31 wakati mikoa mingine haina uwanja wa ndege aliruka kwa ungo
 
Hizi fix hazijaanza leo, wakati wakionyesha alivyowasili Mbeya kwenye kusaka udhamini wa ccm picha zilizowekwa hazikuwa za mbeya zilikuwa za mwanza hapo ndo nikaanza kuchunguza kwa umakini hizi taarifa za ITV


Wakati wa kusaka wadhamini ndani ya ccm alikuwa anatumia usafiri wa ndege lakini wakasema kapita mikoa yote 31 wakati mikoa mingine haina uwanja wa ndege aliruka kwa ungo
Usijifanye ww n wa, zaman sana au ni mtoto sana kiasi kwamba hujui kuwa helicopter hutua popote
 
Back
Top Bottom