Recent content by Mkwangile

  1. M

    Hivyo mlivyoumbwa isiwe sababu.

    Duuuuh,,,,pokeeni hapo ni ngumu kumeza
  2. M

    Hii inamaana gani wakuu

    Kwanini usimuulize ndugu yangu???Majibu tutakayokupa pengine sio sawa na muhusika alivyo
  3. M

    Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

    Tatizo sio kumfuatilia tatizo ni yale utakayomkuta nayo utaweza kuyakabili
  4. M

    Sasa ni dhahiri adui wa mrusi si ISIS bali ni Us...Su 57 zimetua rasmi Syria

    Mkuu umeanza lini kufuatilia hizo habari za kimataifa mbona upo nyuma sana hilo tukio la F 35 lilitokea mwaka jana kama sikosei sio hili la juzi wao walisema F35 iligongwa na ndege kamila nzoka sio kuwa damaged na kombora
  5. M

    Sasa ni dhahiri adui wa mrusi si ISIS bali ni Us...Su 57 zimetua rasmi Syria

    Wataikataa hii na kuikubali link ya kwao
  6. M

    Mtaongea mtachoka, tulishaamua nchi hii ijengwe sasa iwe kwa sululu au kwa majembe ama kwa gwaride

    Kipi mnachokifanya huu mwaka 3 hakuna jipya hali mbaya mnajenga nchi au mnajenga matumbo yenu??
  7. M

    Sasa ni dhahiri adui wa mrusi si ISIS bali ni Us...Su 57 zimetua rasmi Syria

    Tuletee specification kutoka kwenye vyanzo vya habari vya magharibi na marekani ukishindwa usiwe unamkosoa maana wengine tunajifunza haya mambo
  8. M

    President Paul Kagame... No escort.... No bodyguards... No paparazzi...

    Ni kweli mkuu huoni bodyguard hapo???Binafsi nimewaona kama wa nne hivi
  9. M

    Kuna watu humu ndani JF isingekuwa kuchangia threads za watu wasingejulikana

    Huwa naona jinsi unavyowapuuza nipe siri ya mafanikio kwenye kuwapuuza kwako
  10. M

    Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

    Wafungie na ule wimbo wa CCM mbele kwa mbele
  11. M

    Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

    Kama umeisikiliza hiyo nyimbo sema hilo tusi
Back
Top Bottom