Recent content by Mkwakwasu

  1. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    ugonjwa mkubwa unaoumwa ni USHABIKI. Taifa letu linahitaji watu wenye open mind ambao hawana chembe ya ushabiki.kwa hiyo kuleta Demokrasia ni wajibu ila kuleta maendeleo siyo wajibu wake?
  2. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    ugonjwa mkubwa unaoumwa ni USHABIKI. Taifa letu linahitaji watu wenye open mind ambao hawana chembe ya ushabiki.kwa hiyo kuleta Demokrasia ni wajibu ila kuleta maendeleo siyo wajibu wake?
  3. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    kwa kuwa tayari tuna demokrasia,Rais atakaefuata ashughulikie uchumi.JK Uwezo huo hana.hayo aliyo yafanya ndiyo mwenyezi Mungu alimwangazia. kumbuka kila mtu ana strength na weakness.
  4. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    vyote vinakwenda pamoja mkuu
  5. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    kila mtu ana uwezo wake aliojaliwa na mwenyezi Mungu.Tuombe sasa atakaefuata awe na uwezo wa kiuchumi mkuu
  6. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    Mkuu nilitaka kuweka Title itakayo vutia wachangiaji.Au nimekosea mkuu?
  7. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    hivi kwa nini watu huwa hawapendi ukisema hali halisi iliyopo?wanapenda zaidi ushabiki?
  8. M

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi. Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea, Uhuru wa media umeboreka, maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi...
  9. M

    Natafuta msichana aliye serious kwa ajili ya kujenga familia

    ha ha ha! Uwiiiiiiiî wewe inabidi uwe Mwanasiasa tena wa CCM
  10. M

    Who are they: Mbowe, Sitta, Slaa, Zitto, Mwakyembe, Kubenea, Lissu, Rostam...

    Kilichokufanya umtilie mashaka Mbowe ni jinsi anavyopangilia hoja zake.Hilo ndilo limekufanya utake kujua IQ yake.Tupe mfano wa hoja moja au 2 ambazo hakuzijenga vizuri.
  11. M

    Matokeo ya Uchaguzi Uzini - Raza (CCM) aibuka kidedea!

    Maskini jamani kaf imekufa mpaka Zanzibar.
  12. M

    Binti wa Mkuu wa kaya

    Ameshea ubultifull wa mama yake na uhandsome wa baba yake plas misosi na cream za ikulu! Hahahaha.
  13. M

    Kikwete huyooo Australia......

    Acheni Big Boss akafanyiwe massage kali!
  14. M

    Haya tuseme nchi imechukuliwa na Upinzani!

    Ninavyoelewa mimi, mambo yatakuwa yale yale.Umaskini, Ufisadi,Ahadi hewa nk.Kitu kipya kabisa tutakachopata ni PICHA YA RAIS.
  15. M

    Jamani nimepokea Kadi ya Mwaliko wa hii kitu, NIENDEE!!!

    Nenda bila kukosa faida itakayo ipata huko nikunepapa macho.
Back
Top Bottom