bila katiba mpya na tume huru hakuna hakuna ridha ya wananchi bali ya usalama wa taifa (taifa=ccm)sasa hayo ni ya kumuachia Mungu ndiye atakaye mpa hekima na busara huyo atakayekuwa amepata ridhaa ya wananchi
[h=6]Tuseme nchi imechukuliwa na chama makini cha upinzani, unadhani katika kipindi cha kwanza cha Rais mteule nchi itakuwa katika hali gani kisiasa na kijamii?[/h]
Unamaanisha CUF au?1. Tutaona katiba mpya ikiandikwa
2. maadili ya viongozi yakitekelezwa kwa vitendo.
3.Uchumi wa nchi ukipanda kwa kasi kwa kuwa neno ufisadi litafutika katika misamiati yetu
4. KIlimo kikipewa kipaumbele na kuondokana na tatizo la njaa kila mwaka
5.Elimu kwa wote hata wale wasio na uwezo wa kiuchumi kuipata.
6.Wtanzania kutokufa kwa magonjwa yanayotibika
7.Sayansi na teknolojia kumkomboa mtanzania
8.Soko la ajira kuongezeka kwa kasi sana.
9.Tatizo la umeme kuwa historia
10. Kufufuliwa kwa usafiri wa gari moshi.
11. Mikataba mibovu na ya kinyonyaji kufutwa na waliosaini kuwajibishwa
12.Walioiba mali ya umma kufilisiwa na kufikishwa mahakamani
13........
14.......
15.........
Unamaanisha CUF au? Mke anaweza kumdhibi mume wake mpendwa?
1. Tutaona katiba mpya ikiandikwa
2. maadili ya viongozi yakitekelezwa kwa vitendo.
3.Uchumi wa nchi ukipanda kwa kasi kwa kuwa neno ufisadi litafutika katika misamiati yetu
4. KIlimo kikipewa kipaumbele na kuondokana na tatizo la njaa kila mwaka
5.Elimu kwa wote hata wale wasio na uwezo wa kiuchumi kuipata.
6.Wtanzania kutokufa kwa magonjwa yanayotibika
7.Sayansi na teknolojia kumkomboa mtanzania
8.Soko la ajira kuongezeka kwa kasi sana.
9.Tatizo la umeme kuwa historia
10. Kufufuliwa kwa usafiri wa gari moshi.
11. Mikataba mibovu na ya kinyonyaji kufutwa na waliosaini kuwajibishwa
12.Walioiba mali ya umma kufilisiwa na kufikishwa mahakamani
13........
14.......
15.........
yamekuwa ya kumwachia mungu tena, kazi kweli kweli.sasa hayo ni ya kumuachia Mungu ndiye atakaye mpa hekima na busara huyo atakayekuwa amepata ridhaa ya wananchi
Ninavyoelewa mimi, mambo yatakuwa yale yale.Umaskini, Ufisadi,Ahadi hewa nk.Kitu kipya kabisa tutakachopata ni PICHA YA RAIS.
Hizi ni ndoto za Alinacha Mkuu.... Inakua kama kujifariji fulani hivi....
Huyo Osokoni anaongea kama vile yeye ndiye mvua, ndiye anatengeneza dola, utafikiri ndiye trekta. Hii dhana ya ku-support vyama kweli imevamiwa. Wenzetu wa magharibi pamoja na maendeleo yao ya hali ya juu , lakini bado wanaandamana kisa maisha magumu , bado wanachangia elimu na mbaya kabisa bado wanakuja afrika kutugombanisha ili wapate kuziba mianya ya hali mbaya katika nchi zao. Hiyo serikali ya upinzania itakuwa katika sayari ipi?
1. Tutaona katiba mpya ikiandikwa
2. maadili ya viongozi yakitekelezwa kwa vitendo.
3.Uchumi wa nchi ukipanda kwa kasi kwa kuwa neno ufisadi litafutika katika misamiati yetu
4. KIlimo kikipewa kipaumbele na kuondokana na tatizo la njaa kila mwaka
5.Elimu kwa wote hata wale wasio na uwezo wa kiuchumi kuipata.
6.Wtanzania kutokufa kwa magonjwa yanayotibika
7.Sayansi na teknolojia kumkomboa mtanzania
8.Soko la ajira kuongezeka kwa kasi sana.
9.Tatizo la umeme kuwa historia
10. Kufufuliwa kwa usafiri wa gari moshi.
11. Mikataba mibovu na ya kinyonyaji kufutwa na waliosaini kuwajibishwa
12.Walioiba mali ya umma kufilisiwa na kufikishwa mahakamani
13........
14.......
15.........
duh Picha ya prezida.
Hapo ndo hua nawaonea huruma my fellow Tanzanians.... Dhana na imani ya kusema kwamba kitakapo kuja chama kipya na utawala mpya basi kila kitu kitakua for the best... Haya mambo hayafanywi in one day yakanyoka... Yanahitaji mda for "Change" Ku-prevail ipasavo... Mfano tu hilo suala la mikataba, huwezi vunja mikataba bila kwanza kupitia uone tatizo lipo wapi... na ukishaona tatizo kwanza kuichora upya na kuandika mipya ambayo ni kwa maslahi ya nchi yaweza chukua forever.....
kikwete na washikaji zake wote watatupwa rumande kusubiri kesi zao