Kikwete huyooo Australia......

Kikwete huyooo Australia......

Tutofautishe aina ya safari, hii ni safari muhimu kama kiongozi wa nchi kuwepo yeye binafsi halafu mbona safari nyingi huwa anawakilishwa

Hii safari ina umuhimu kuliko raia waliouawa na askari kule Idodomia? Wacha dhihaka wewe kitu gani ataongeza yeye kwenye huo mkutano zaidi ya kulifilisi taifa, wacha hilo hebu tupe mafanikio ya mikutano aliyohudhuria ya jumuiya ya madola hapa ...... ..... ..
 
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...wakuu wale wanaochukua data hii ni safari ya ngapi?

Mods: Ningeshauri hii thread ihamishiwe kwenye ile special thread ya Safari za rais wetu kipenzi
 
Wanakwenda kukutana wakuu wa nchi wanachama wa jumuiya ya madola.
Ulitakaje?
OTIS.

baba riz1 katuletee ng'ombe wa maziwa sie wakurya hatuna shida na wewe. Kila siku tunaibiwa ila hao hawataibiwa maana ni wazito
 
Tutapata Tooheys, VB na Fosters kibao! Akina dada wa Australia huwa kama wanatoa free samples!
 
jakaya 2naomba tu siku zisogee ila kama hali itakuwa inadumu kama ilivyo sasa kuna haja ya kufanya maandamano nchi nzima!
 
safari hii atatuletea kangaruu si hao tuliwapa wale simba wetu wanaopanda miti sasa watupe angalau Kangaruu na siye tuweke kwa Zoo yetu
 
Yeye anasafiri za nje na wabunge wenu na safari zao za nchini. Kila mmoja anakula posho yake. Mimi naona ni bora tuweke hesabu za safari za Lissu pekee kwanza. Halafu mtuambie mara ngapi amefanya safari ya Jimboni kwake.
 
watanzania wanawivu sana


Meanwhile, President Kikwete left the country on Monday evening for Perth, Australia where he will attend the Commonwealth Summit, scheduled for Friday through Sunday.

A State House statement said the president would attend an economic forum ahead of the summit, before joining other heads of state in a special meeting with businessmen. President Kikwete returns home on Tuesday, next week.

In another development, President Kikwete received letters of credentials from the Sudanese and Japanese ambassadors, Mr Yassir Mohamed Ali and Masaki Okada respectively...Daily news..
 
Hii safari ina umuhimu kuliko raia waliouawa na askari kule Idodomia? Wacha dhihaka wewe kitu gani ataongeza yeye kwenye huo mkutano zaidi ya kulifilisi taifa, wacha hilo hebu tupe mafanikio ya mikutano aliyohudhuria ya jumuiya ya madola hapa ...... ..... ..

true that.
 
Tutofautishe aina ya safari, hii ni safari muhimu kama kiongozi wa nchi kuwepo yeye binafsi halafu mbona safari nyingi huwa anawakilishwa

nanusa harufu ya umasaburi hapa. haya tujuze, asipohudhuria nchi itapata hasara gani?
 
Back
Top Bottom