waalimu wa lugha wapimwe kwa lugha, usiniambie mwalimu wa hesabu akishindwa kuongea kingereza fasaha apigwe kando, najua kingereza cha kufundishia hesabu atakuwa nacho tu, hao wapimwe kwa uwezo wao kwenye calculations, sio lugha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni lini serikali itawapenda raia wake kuliko silaha zake!? Haya maendeleo wanayosema wanayatafuta ni kwaajili ya nani!? Kwanini wanatumia silaha za moto Vs watu wasiokuwa na silaha!? Hivi hawa watawala wetu watatawala milele? Kuna watu wako kimya kwenye system kwakuwa wanapata ulaji kwa...
Tukiwaambia muwe mnatest before mnatuona wajinga....haya sasa ndoa ni ya kikristo!? Kama ya kikristo ndo Mungu amekupangia hivyo...pambana ndo chaguo lako maisha ...kama ya kiislamu tafuta jiko lingine ukikuta tena ovyo tafuta jingine mpaka wanne!!!
Wakuu...toka kampeni zimeanza kwa haya majimbo mawili yanayo waniwa ...naona ni jimbo moja tu la kinondoni ambapo nguvu kubwa imewekwa na mahasimu wote wa kisiasa...najiuliza vipi kuhusu siha!? Au upande mmoja umeshakubali kushindwa!? Manake sioni watu kuiongelea sana kama ilivyo kwa kinondoni!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.