Katika bible imeandikwa kuwa watu ambao hawakufikiwa na biblia hukumu itazingatia misingi na taratibu za maisha walizojiwekea.mipaka katika kila jambo mtu akivuka isivyo sawa anaangukia kwenye kosa.
Kwanza jina la mtumishi siyo Mwaiposa ni Mwamposa. Ukumbuke maelfu wanaoenda pale siyo wajinga kiasi kwamba wewe ndiyo mwenye akili. Kwani kuruhusu kampuni ya Kisima isogeze huduma pale ni kosa? Maji ya 1.5 litre popote yanauzwa kati ya 1000 mpaka 1500 na pale maji ya kampuni ya kisima yenye...
Hivi kweli Lissu anaweza kuwa na ushwawishi huko nje kuliko serikali na Vyombo vyake vinavyoshughurikia maswala nje ya nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maalim self huwezi kumlinganisha na lipumba ambaye hajawahi kuwa hata diwani wa kuchaguliwa. Maalim aliishakuwa kiongozi tena alionekana na kupewa majukumu wakati Mwalimu Nyerere. Maalim ameishakuwa makamu wa kwanza wa rais upande wa Zanzibar kikatiba kwa kuwa nusu ya nchi upande wa Zanzibar...
Kuokoka ni kweli ni kwenda mbinguni lakini vile vile ni kuishi Maisha ya yaliyostawi. Nguvu ile ile inayookoa ambayo hutoka kwa Mungu mkuu ndiyo nguvu hiyo hiyo inayomfanikisha mtu na kutoka katika vifungo vya kimasikini .tunaweza kujisomea andiko hili hapa
Kumbumkumbu la tarati 8:18
Linasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.