Nyakati fulani rafiki yangu Zitto ali dream/waza/aspire innocently kugombea urais kupitia chadema. Reaction iliyotokea chadema ilikuwa kubwa, negatively kumpinga bila kuangalia ni mtoto wao, zao lao, anatamani hivyo...ilipita ile na tulii note. Athari yake ni kuwa ndoto zile zilizimwa kwa vijana wote ambao wangetamani pia siku moja kuwaza kuwa rais....
Ndio unakuta CCM wanakuwa na wagombea 40 wa nafasi moja....na vyama vingine wanakuwa 2,3 au hakuna
EL ashasema anagombea 2020..hakuna wala sijasikia akipingwa kama ambavyo ilitokea kwa wengine!!! na hata kuwekwa pale sidhani kama kila mmoja wenu aliridhia
Huwa nasema pale wanachama watakapokuwa na uwezo wa kukosoa, kuonya, kishauri uongozi wa vyama vyao ndo chachu ya mabadiliko kwa taifa zima.
Slaa angegombea 2015 asingeta kura nyingi kama EL ila bado angeweka stable foundation kwa chadema kubeba nchi 2020!! hili gumu kueleweka hasa pale watu wanapotaka miujiza....filosofy ya cdm isingepotea na Slaa angekuwa rais halisi wa mioyoni
Hivi mtu aliyekuja CDM baada ya kukatwa huko unaweza ujihakikishia kuwa ni mwanachadema? what drives Mbowe? mabadiliko halisi, hela, biashara au??
povu ruksa