Recent content by Mkuu Maua

  1. Mkuu Maua

    Hii kweli ni New York ya Marekani ?

    Kulikua na haja gani kusema umechili sana braza
  2. Mkuu Maua

    Natafuta mume asizidi miaka 40

    Ndoto zangu zinaenda kutimia nilikua natafuta mtu kama wewe nimeku pm tuyajenge.
  3. Mkuu Maua

    Nimeombwa namba na sijatafutwa hadi mida hii

    Sina vocha ma mtu nitakutafuta usijali
  4. Mkuu Maua

    Tulipokua wadogo Nilikua nikishindanishwa na dada zangu kukatika.

    Ivi unakuaje na mtoto bwabwa, Mi kiukweli kua na mtoto kama uyu ni bora niue niwe jela tu
  5. Mkuu Maua

    Natafuta mke kuanzia mwenye miaka 40 na kuendelea

    Nina shangazi yangu ana 45, nikuunganishe nae.Ana mapengo mawili tu
  6. Mkuu Maua

    Natafuta mke kuanzia mwenye miaka 40 na kuendelea

    Mungu amesikia kilio chako
  7. Mkuu Maua

    Natafuta mke kuanzia mwenye miaka 40 na kuendelea

    Aya namba A zimepata mkombozi
  8. Mkuu Maua

    Ndugu zangu waislamu mnaposema peponi wanaume watakuta mabikra 72 na je wanawake watakuta wanaume mapafu ya mbwa 72

    kabla sijafa mnikumbushe niwe muizilamu, nikaone hao mabikra nawaahidi sitofanya chochote ntawaangalia tu
  9. Mkuu Maua

    Ufafanuzi wa UDART tukio la abiria kupanda mwendokasi bila kufuata utaratibu

    Mwendokasi imejengwa kwa gharama kubwa lakini kituoni unasubiri mpaka dakika 40 ndo gari inapita
  10. Mkuu Maua

    Mnataka kunambia serikali haijui kuwa Bakhressa na MO wanawalipa watu Elfu tatu mpaka elfu nne kwa siku?

    Umenikumbusha mbali nishawai kwenda pale buguruni. Nilibeba viroba kuanzia saa 3 asubui mpaka saa 12 jioni alafu ela niliyokuja kupewa nilitamani kulia.
Back
Top Bottom