Nimeoina hii hoja kwenye kampeni za chama cha mapinduzi ghafla nikajikuta nimeunga mkono kauli mbiu ya October tunatiki.
Awali nilikuwa sijui kwamba hata wanaccm nao wanakubali kwamba mwaka huu hakuna uchaguzi isipokuwa maigizo Tu . Eti October 2029;tunatiki na bila kuonyesha kuwa amekosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.