Recent content by mkuto

  1. M

    Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

    Hahahaha Mwajamila alikuwa noma Msule dah RIP Fr.Kiswaga. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Shule za Secondari 10 zilizokuwa zikibamba Mbeya miaka ya 1990-2005

    Ipo mkuu itakufaje ipo tena kwa sasa inakuja kuja mkuu
  3. M

    Mfalme wa Wazulu aliyeagiza Waafrika wapigwe!

    Pia hili suala nchi za kiafrika zinatakiwa kupaza sauti na kuitenga afrika kusuni kwa mambo matatu yaani siasa uchumi na kijamii haya mambo yakifanywa bila unafiki hakika serikali ya Zuma watajifunza kuwa ubaguzi hauna nafasi tena kwa dunia ya leo.
  4. M

    Wakazi wa Tukuyu

    Upo tukuyu sehemu gani mkuu.
  5. M

    Bibi Anna na kilimo

    Bibi Anna anawawakilisha watz wengi waishio vijijini kama bibi,babu na ndugu zangu walio wengi.
  6. M

    Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

    Asante nitamtafuta ndugu.
  7. M

    Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

    Mwenye historia sahihi ya huyu mwana harakati naomba anisaidie, niweze kuelewa.
  8. M

    Bibi Anna na kilimo

    Leo asubuhi katika katisha zangu shambani bibi Anna alikuwa ana palilia mahindi shambani lakini alionekana mchovu sana katika kufanya kazi kwake, kama mtz muungwana ikabidi ni mwulize bibi kulikoni jibu lake kwangu mjukuu wangu nimechoka nina miaka 70 lakini bado nateseka na kulima bora niende...
  9. M

    Kuelekea 2015: Tunaomba Daftari la wapiga kura lirekebishwe!

    Hapo sasa kazi ianze na ifanyike kwani kupiga kura ni haki ya kila mtz, kumbe serikali lnatakiwa kuwatimizia haja watz wote wenye sifa za kupiga kura waweze kutimiza haki yao ya msingi.
  10. M

    Siasa

    Kwa mazingira haya tz yatupasa sasa siasa ifundishwe mashuleni kuanzia darasa la tatu.
  11. M

    Huyu ndio Lwaitama... Sijashangaa!

    Kosa la huyu mzee liko wapi? mi naona yupo sahihi mzee wawatu, mzee yupo critical sana tu hebu nasi tutoe yetu then kosoa.
  12. M

    Zitto ahojiwa kuhusiana na mabilioni ya Uswisi

    Kama kutunza pesa inje ya kaya lazima Gavana ajue je? Iweje
  13. M

    Wasanii wa kizazi kipya wanaotarajiwa kugombea ubunge 2015

    Kalibuni kwenye siasa
Back
Top Bottom