Huyu ndio Lwaitama... Sijashangaa!

cjakuelewa umeandikaa tu "you are bluffing" hakuna chochote pumba tu..duh! hii elimu ya Tanzania hakuna kitu...Unapoandika upuuzi kama huo ambatanisha evidence basi...
naona mmesahu kwa mshumbusho na lwaitama na walewale wahayaa wa bukoba
 
Just thinking aloud! Hivi mwanachama unaweza kuandaa waraka wa siri wenye mikakati ya kuuondoa uongozi wa CCM au chama kingine chochote (mfano CUF na NCCR Mageuzi) madarakani kabla ya muda rasmi wa uchaguzi wa chama halafu wakuachie tu kwa kisingizio cha demokrasia?
 
Mtataga na huyo zito mwepesi wenu mwaka huu anayeng'ang'ania kwenye kivuli cha udini.,Bahati mbaya waislam wengi tumeshamshtukia ni ww Omar na wengine wachache mnaojiact uzumbukuku.
 
Kosa la huyu mzee liko wapi? mi naona yupo sahihi mzee wawatu, mzee yupo critical sana tu hebu nasi tutoe yetu then kosoa.
 
upembuzi yakinifu sana,utakuta baadhi ya vijana hawana point wanakuja kutukana hapa!!hao ndo vilaza wafuata upepo karne ya 21 watu wanashindana kwa hoja
 
Just thinking aloud! Hivi mwanachama unaweza kuandaa waraka wa siri wenye mikakati ya kuuondoa uongozi wa CCM au chama kingine chochote (mfano CUF na NCCR Mageuzi) madarakani kabla ya muda rasmi wa uchaguzi wa chama halafu wakuachie tu kwa kisingizio cha demokrasia?

Inawezekana kabisa kwamba ndani ya chama kuna mfumo unaowabana wengine kutoa maoni kwa uhuru, siamini kwa usomi wa wa hawa kina mkumbo, zitto na mwenzao waweze kuandaa mpango kama walikuwa wanaweza kutumia njia nyingine. akili ya kawaida inaonyesha ama walijua njia nyingine yoyote isingefanikiwa .
 
Hivi Dr. Lwaitama hakupata contract UDSM baada ya kustaafu????? Atakufa jamani. Njaa ndo inamsumbua. anataka kazi CDM. Hivi aweza fanya kazi gani humo CDM???
 
Kama waraka ule ni halali,kwa nini Kitila Mkumbo aliomba kujiudhuru na alikili mbele ya press conference??!!

Kitila Mkumbo akiwa kama mshauri mkuu wa CHADEMA na pia mjumbe wa kamati kuu ni halali kwake kufanya mipango hii??!! Kwa kigezo cha demokrasia?!! N'a Pengine unaonaje suala la press conference ya Zitto na Kitila Mkumbo kusaidiwa na vijana wa UVCCM kama alivyokili Mwampamba na pia kufanyiwa coverage ya radio kwa gharama ya CCM(clouds fm)), inamsaidia kuondoa uakisi wake kuwa ni kibaraka na ndumi la kuwili??!!

Naamini ndugu unaweza kuyajibu Haya machache kwa kuwa ni mwanataaluma mzuri!!

Huyu ndugu hawezi kuyajibu haya kwa sababu akili yake imepofushwa na ccm
 
Ommy, politics just like life itself is a game of opinions.

Syllogisms za Mwl. wako Lwaitama zina mashiko, reference alizotoa na conclusions ni overwhelmingly valid and relevant.

Kwa zile nondo alizotoa si rahisi (hata kwa kulazimisha vipi) mtu afikie conclusions zako (probably it's your wishes).

So let's turn our focus to real-politik, let's give Zitto (I'm aware he's close friend) and Kitila some time to answer the queries.
 
Huyu omarilyas ni mbeba mikoba wa Dr. Salim, sijui atatushawishije kuwa yeye ni mpenda mageuzi na upinzani imara.

Ni huyuhuyu kilaza alikuwa anaongoza kwa kwatukana kina Mbowe kule Twitter, huyu mtu pia ni coward na dictator kwani ukiposhana naye kimawazo kule Twitter anakublock. Mtu wa namna hii ndiye anakuwa kinara wa kutangaza democrasia hapa baada ya mtu ambaye wanashinda naye Serena kuvuliwa madaraka.

Mkuu vumilia tu, every dog has his day!
 
Last edited by a moderator:
omarilyas,

..hata wewe umeandika bila kuzingatia response ya CDM kuhusu madai ya Zitto na Kitila.
 
Last edited by a moderator:
naona mmesahu kwa mshumbusho na lwaitama na walewale wahayaa wa bukoba

Bwana Omarilyas, next time you commit your thoughts into writing, be precise! You could borrow a leaf from Dr. Lwaitama. Trim unwanted verbosity to make sure people read your message! Readership is earned!
 
Dr ameongea ukweli mtupu kwenye andiko lake na kwamba ule waraka ndo ulikuwa wa msingi na jana viongozi wa CDM wamedhibitisha ndo kilichomwondoa zitto, dr mkumbo anasema zitto hausiki ili tu kumlinda mbele ya jamii bt ukweli ni kwamba anahusika asilimia mia moja na anaujua sana,maamuzi ya chadema ni ya msingi sana hata CCm yaliwashinda kwa chenge na lowassa kwenye mambo yetu yale ya kujivua gamba, hakuna anayebisha kwamba zitto ni mwanasiasa mwenye influence katika jamii lakini ana uchu wa madaraka sana anahitaji kuwa na subira, hakuna mtu aliyopo juu ya chama.
 
Tatizo mtoa mada uko too empathenic.....yaani unayajua hata ya moyoni ya Zitto kitu ambacho naamini hata ufanyeje Lwaitama hawezi kujua kama wewe.....maana bandiko lako limejaa hisia ya nini anakiwaza Zitto....nini Zitto Moyo wake ulisita kutamka....upo juu kwa kweli,kwa uchambuzi huu unaweza hata kueleza anayowaza Mwl.Nyerere leo hii.
 
Back
Top Bottom