Mkuu habari Naona pm yako umefunga nipo mkoani nilikuwa naomba mawasiliano ya hayo machimbo wanayouza vitenge,pochi na sandles kama hutojali unaweza nitumia inbox .
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asee Mimi ningekuwa refa ningepiga mhindi kwenye option ya dakika za nyongeza afu naweka mzigo wa maana.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Habari mkuu,,,
Samahani kwa kuingilia huu Uzi ila na Mimi Nina inshu tofauti inayomuhusu afisa maendeleo Toka halmashauri,inshu ipo hivi juzi kati hapa nilipigiwa simu kama mwakilishi wa kikundi kualikwa kwenda Bukoba kwa ajili ya wiki ya vijana kitaifa na hapo tukaambiwa kutakuwa na posho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.