Nitakubaliana na wewe tu iwapo elimu juu ya siasa itatolewa ipasavyo kuanzia ngazi ya familia mpaka kitaifa. Lakini adui yangu sio chama chochote kile nchini bali ni wanasiasa wasio na muelekeo wa dhati kuitumikia nchi na wapigakula wao. Wengi ni wahubili wa siasa za matumbo yao na vyama vyao.
Nafikili uchaguzi umeisha. Sasa ni wakati wa kushilikiana kuijenga Tanzania bila ya kujali vyama vyetu. Maana sote dhamila yetu ni kuiona Tanzania ikipiga hatua kubwa kimaendeleo.
Haiwezekani kwenye nchi ya watu milioni 50 na ushee hivi tuwe na mawazo ya kuhazima hazima. Huu ni muda wa kutumia rasilimali zetu tulizonazo kwa umakini. Na kama wanapwaya jibu ni rahisi chomoa weka ambao wanaweza kuendana na kazi husika. Lakini sio kuwaza kuwaajiri wanyarwanda wakati kuna...
Tani 5 !! Hii ni hatari sana. Inamaana uhai wa tembo wengi sana umepotea. Bora wakamatwe tu. Ila mi naomba wabanwe ili tuweze jua nani kawatuma kufanya biashara hiyo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.