Habari ya Jioni wanajamvi,
Jimbo la Kalenga lina historia ya kipekee katika nchi yetu,ni jimbo ambalo haijawahi tokea mbunge akatawala vipindi viwili mfurulizo,pia ni jimbo ambalo halija wahi pata mmbunge Mwanamke,pia ni Jimbo ambalo kiuchumi lilikuwa juu kitaifa ,kutokana na kutoa...