Recent content by Mkulima Wa leo

  1. M

    Wakandarasi

    Kwa anaejua kitu inaitwa GN inayozuia malipo ya mkandarasi Ndugu nisaidieni nimefanya kazi ya zabuni ya ujenzi nimeambiwa malipo mpaka waziri Wa fedha asaini GN. kwa anaejua hii kitu anieleweshe. Ofisi ninayodai wanasema hawajui Siku ya kusainiwa hiyo GN ni nini?
  2. M

    Passport ya muda mfupi inanifikisha South Africa?

    Asante sana nitafuata ushauri wako
  3. M

    Passport ya muda mfupi inanifikisha South Africa?

    Wanajamii naomba kujulishwa kama passport ya muda mfupi inaweza kunifikisha Afrika Kusini.
  4. M

    Naomba msaada kwenye suala hili la passport

    Naomba kujua kama paspoti ya muda inaweza kunifikisha Africa kusini
  5. M

    Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    Kuna wakati unawaza bora bei ibaki hiyo wanayotaka lakini chakula angalau basi kiwe cha moto. Chakula kinapikwa asubuhi unakuja kuuziwa SAA 12 jioni. Sio haki in ujambazi usiotumia silaha
  6. M

    Naomba kujua machache kuhusu biashara ya Chupa za Plastiki zilizotumika

    Ndugu zangu mtafutaji hachoki. Naomba msaada wenu kwa yeyote aliyewahi kufanya biashara ya kuuza chupa tupu za plastiki zilizotumika. Bei ya wanunuzi viwandani, majina ya viwanda na eneo wanakopatikana. Najua soko kubwa lipo DSM. Natanguliza shukrani kwa atakaetoa ushauri wake. Asanteni
  7. M

    Naomba kufahamu masoko ya kuuza asali kwa jumla

    Ndugu. Kwa kufikiri kwangu, naona kuwa soko rasmi la Asali kwa Tanzania bado ni changamoto. Kwa sasa ni kuwa wafugaji wengi tunauza ktk soko la mtaani. Kama uko mikoa ya nyanda za juu kusini nitumie ujumbe nikuelekeze MTU anaenunua kuanzia Lita 20. Hakikisha uwe na Asali iliyotazamwa kwa...
  8. M

    Nahitaji hydraulic pump

    Nahitaji hydraulic pump kwa ajili ya kuunda press machine, vifaa vingine kama boom na fremu ninavyo.
  9. M

    Naomba kupata elimu kuhusu greenhouse

    Naanza kidogokidogo kwa soko LA mtaani. Kwa maana kulima kwa scale ndogo. Misha nitakuwa natafuta fursa nyingine.
  10. M

    Naomba kupata elimu kuhusu greenhouse

    Wanajamii Niko mikoa ya nyanda za juu kusini. Nashukuru sana kwa watu wanaochangia elimu kwa jamii kupitia jukwaa hili. Ninalo shamba ambalo sijaliendeleza ekari NNE. Ninapenda kufanya kilimo cha tija. Naomba kwa ambaye ana uzoefu Wa green house na gharama zake anisaidie
  11. M

    Ufugaji nyuki wa kisasa

    Rafiki Asali. kama kuna chanzo salama cha kuaminika mnaweza kuchukua Asali? Bei mnanunua kiasi gani kama mnanunua?
Back
Top Bottom