Recent content by Mkulima na Mfugaji

  1. Mkulima na Mfugaji

    RC Chacha asitisha mkutano wa injili wenye viashiria vya mapenzi ya jinsia moja Tabora

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amesitisha mkutano wa injili uliotarajiwa kuanza Machi 19 hadi Machi 22 mwaka huu na Mchungaji Dana Morey kutoka nchini Marekani, baada ya kubaini kuwepo kwa viashiria vinavyodaiwa kuhusishwa na mapenzi ya jinsia moja. Akizungumza na waandishi wa habari...
  2. Mkulima na Mfugaji

    Malengo yangu ni kuandaa miche 20,000 ya michungwa

    Nilianza ila kabla sijafanya badding ikanunuliwa yote hivyo nimeanza tena upya
  3. Mkulima na Mfugaji

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Kwa sasa bei ya machungwa juu ya mti shambani ni Tsh 25 mpaka 30 ukija ukiweka gharama za uchumaji inafika mpaka 35 ila ikifika mwezi wa 8 hua bei zinapanda kwa kasi na kuna kipindi bei zinafika mpaka Tsh 100 kwa chungwa juu ya mti
  4. Mkulima na Mfugaji

    Tujuzane bei za mazao mbalimbali – wakulima, wafanyabiashara na walaji karibu!

    Huku Muheza Tanga bei ya chungwa shambani ni TSH 25,30 mpaka TSH 40 inategemea na ubora wa chungwa
  5. Mkulima na Mfugaji

    Ana 400,000 mfuko wa shati. Anahitaji ushauri

    Atafute mtu wa sokoni kwenye soko la matunda awe anampelekea machungwa halafu Aje Muheza Tanga huu ni msimu wa machungwa , kwa hela yake hiyo hatakosa kununua machungwa 5000 na ajitahidi chungwa lifike sokoni kwa bei ya Tsh 50 au 60 hata akiuza kwa bei ya jumla ya Tsh 80 hatakosa Tsh 20 ya Faida...
  6. Mkulima na Mfugaji

    PreGE2025 Sheikh Ponda: Inakatisha tamaa mtu kama Spika wa Bunge anapoelezwa kuhusu taarifa za utekaji anakanusha kuwa si sahihi

    Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amemtolea wito spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson kulitilia umuhimu suala la watu kupotea ama kutekwa badala ya kupuuza kwa kuwa bunge ni chombo cha uwakilishi na kuwatetea wananchi. Amesema hilo si suala la kisiasa na inakatisha tamaa...
  7. Mkulima na Mfugaji

    Tabora: Wanafunzi wa kidato cha 6 waliotaka kuchoma moto Shule ya Sekondari Milambo wakamatwa

    Hiyo shule kwa waliosoma pale kuanzia mwaka 2005 kushuka chini wanaijua vizuri Yaani hiyo shule ilikua na historia kila baada ya miaka miwili au mitatu inatokea vurugu kubwa Mimi nimesoma form one mpaka form four Wakati tunaingia form one mwaka 2002 tulikuta wanafunzi waliotutangulia...
  8. Mkulima na Mfugaji

    Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

    Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion. Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika...
  9. Mkulima na Mfugaji

    Mbona hatumuoni shabiki mwenzetu wa Simba bwana Mchome tukifurahi nae baada ya Yanga kutolewa Ccl na Simba kuingia Robo fainali CCC

    Imekua ni kawaida kwa huyu bwana Mchome kutoa hisia zake hasa baada ya mechi za Simba na Yanga kumalizika na kutoa madhaifu ya timu ya Simba huku akiwa amevaa jezi ya Simba na kujiita kwamba yeye ni mwana Simba Sasa tulitegemea tufurahi nae shabiki mwenzetu wa Simba baada ya Yanga kutolewa CAF...
  10. Mkulima na Mfugaji

    Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

    Hapana sio kweli ni kwa muangusho mmoja na kwa mwaka unaweza kuangusha mara nne au zaidi Unaweza kitembelea mikoa inayolima mazi ukajifunza zaidi
  11. Mkulima na Mfugaji

    Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

    Kama utapanda minazi tupu bila ya miti mingine unaweza kupanda 180-200
Back
Top Bottom