Abdul Nondo ndio katoa fact kabisa kuliko yule jamaa mpika figure.. Binafsi nilidhani wachambuzi wetu watusaidie kudadavua maudhui ya riport yenyewe badala ya kuanza kukinzana wao kwa wao na hapa ieleweke kosa limeanzia kwa Kafulila kumjibu Zito wakati mh Zito yeye alijiegemeza kwenye hoja ya...
Ndo maana uchumi unaporomoka badala ya majeshi yetu kufanya ujasusi wa ki uchumi kutwa kulipiza kisasi kwa raia.. na kwa mfumo huu inakuwa shida sana kupata wahalifu wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ptz, Kumbe anajulikana alipo ndo maana kalipwa haki zake zote akiwa nje ya Bunge tofauti na tulivyoaminishwa zamani kwamba ajulikani alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe ulivyo zuzu ulitaka wahame au kuunga juhudi bila kupika sabababu? We bado sio mwanasiasa ulieiva na kamwe usitake kujilinganisha na Ansbert Ngurumo ni mtu mdogo sana wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi mtupu kwa hiyo nikiingiliwa na joka ndani kuliua paka nifate kibali? Yaani ma viongozi mengine mapuuzi tu utadhani hayana shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe mwenye Akili mbilikimo unadhani wanaounga juhudi kwa sasa wanaamua wenyewe au wanarubuniwa? CCM ilishakosa nguvu ya hoja imebaki mauzo na vitisho tu na bahati nzuri wananchi wameshabauni mchezo ndo maana uungaji wa juhudi siku hizi sio habari kama zamani
Sent using Jamii Forums...
Na ktk Historia tangu tupate uhuru hii report ya juzi ya Si ei jii ndo imevunja ungo kwa kutokuwa na mvuto kuliko ripoti zoote kiasi kwamba kwa mvuto lipoti imezidiwa hata na corona
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.