Maneno mazuri Askofu japo binafsi nadhani kitaalamu mtu akijaza Nyongo ni sharti aiteme ndipo ashushe hasira hatimae msamaha ndio ufuate na akisamehe atakuwa kasamehe lakini akilazimisha moyo usamehe wakati bado amejaa sumu itakuwa kazi bure, so let him give out his biles first,, hili kulielewa...
Mayala andiko lako hili naliweka kwenye kumbukumbu za maandiko bora kabisa kuwahi kutokea hapa JF tangu kuanza kwa page hii miaka kadhaa iliyopita, Hongera brother you are also the great thinker like what others are
It is the most attractive writting that i ever met it before, you a great thinker mr Ngurumo n thanks a lot for educating/introducing us some beneficials materials
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.