minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,321
- 22,320
Naona kazi aliyotumwa kaianza
Sent from my iPhone using Tapatalk
Lipumba ndiyo profesa wa hovyo kupata kutokea Duniani kote
Naona kazi aliyotumwa kaianza
Sent from my iPhone using Tapatalk
IPO ICU
CUF haina wanachama....haina ofisi....walibaki ni wabunge na madiwani ambao nao watafanya maamuzi yao mapema tuuu
Chini ya jua na chadema kila kitu kinawezekana.Lipumba ndio Muasisi wa Ukawa Na Hata Jina hilo amelitohoa Lipumba kwa mujibu wa Maalim Seif Na Mbowe
Siasa ya Chadema Haina Mtabiri
Usishangae Prof Lipumba akawa ndio Mgombea wa Chadema 2020 akawa anaitwa 'Rais wa Mioyo yetu'
Seneni lipumba amejitowa ukawa na sio cufKatibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
Lipumba na Halifa Wana ushawishi gani kwa waTz ?!Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
Hahaha ccm bana akili zenu ndogo sana cuf ipi ilikuwa ndani ya ukawa?[/QUOTE
Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
Mawazo yakoCUF haina wanachama....haina ofisi....walibaki ni wabunge na madiwani ambao nao watafanya maamuzi yao mapema tuuu
Lipumba ndio Muasisi wa Ukawa Na Hata Jina hilo amelitohoa Lipumba kwa mujibu wa Maalim Seif Na Mbowe
Siasa ya Chadema Haina Mtabiri
Usishangae Prof Lipumba akawa ndio Mgombea wa Chadema 2020 akawa anaitwa 'Rais wa Mioyo yetu'