Pole sana kwa hilo dada. Ni kweli hakuna ajuae kesho yake ila kuish katika mazingira hatarishi ni kuhatarisha maisha pia so nakuomba mweleze ukweli kwa sababu kuna mazingira ambayo hayahitaji kutumia huruma bali ni maamuzi kulingana na mazingira pia afya yako ni muhimu kuliko kitu chochote Dada...
Jaribu kuish mwenyewe uwe huru na uepukane na hayo mambo hawa Dada zetu Siku hizi kutuma picha na video kama hizo ishakuwa kawaida kimsing kama unahitaji kuish maisha yenye amani kuwa single boi tuu la sivyo utapata shida sana ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.