Recent content by mkosamale

  1. M

    Naomba ushauri kuhusu hili tatizo linalonikabili

    Kwanini ujipe shida zaid,kama kuna uwezekano kafanyie kwenu au kwa Ndugu unae elewana nae au huna rafiki ukakae kwake then unaenda field?kama yupo Rafik mweleze hali halisi,na istoshe ndo utakapojua kipimo cha urafik wenu
  2. M

    Ni kweli ujauzito unaweza kuonekana kwenye kipimo siku 6 baada ya kuingia?

    Kuna mtu hivyo hivyo alilazimishwa kavu, jamaa akabisha sana akasema wana mda mrefu hawajaonana kimwil na istoshe alikua safara,hata kupima hawajapima na mwanamke akadai anataka mimba,jamaa akamwambia hajajipanga na hana pesa kwa sasa avumilie kidogo mbaka mwakani istoshe alikua safar,nanahofia...
  3. M

    Utaratibu wa walimu kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo wilaya ya Kondoa dc dodoma nije wilaya yeyote mkoa wa iringa, 0764966098
  4. M

    Tamko la walimu wa sanaa waliokua wanaosubiri ajira mpya.

    Ifike Mahali watanzania tujikite kwenye vipaji tulivyo kuanavyo ,tuvikuze kwa gharama yeyote itatusaidia kujiajiri au kama umegundua unafani ebu komaa na fani yako hiendane sambamba na kipaji ulichozaliwa nacho,tusidharau vipaji tulivyozaliwa navyo, au kipaj cha mtoto wako kikuze! Usimkatishe...
  5. M

    StarTV wasaliti agizo la Chama cha Wandishi wa Habari

    Tukumbuke star TV, ni television ya biashara
  6. M

    Unadili vipi na vihererere, watu wa majungu, kujipendekeza, waongo na wasingiziaji maeneo ya Kazi

    Kua bize na mambo yako ,jenga msimamo wako wakutopenda mazoea hata ikitokea amekufanyia jambo afu likawa limepita, daima usirudishe moyo wako nyuma hata akija kukusemesha kua bize na mambo yako,be smart,focus shughuli zako zakukuongezea kipato,wataja kukuheshim na kukuogopa
  7. M

    Ama kweli Duniani kuna magumu ya kuamua

    Mkatae aliefungua kesi sema si kwel Kes kwisha
  8. M

    Watu kama Mkuu wa Mkoa huyu ni hatari sana ukiwa unafanya nao kazi. Hawaoni hasara kukuharibia

    Messege sent: na nichuki binafsi, nampa Hongera mkuu wa mkoa wadodoma unafanya kaz vizuri sana istoshe unapiga sana vita tabia ya kuleteana fitina na kuchongeana kwa interest za mtu binafsi ili kumuharibia mwingine ma ofisin,Hongera baba
  9. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    N mbinga hapana iringa sehemu yeyote
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mbinga hapana iringa sehemu yeyote
  11. M

    TARIME: Walimu S/Sekondari Mogabiri wanafundisha chuo cha Utalii na kituo cha Tuition muda wa kazi

    Uliwafata kuwashaur kabla ya ku post au ndo kutaka kuwaharibia kazi!sio vizur kuchongea watu ili iwe nn?
  12. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo dodoma kondoa nije mkoa wa iringa wilaya yeyote 0764966098 sec
Back
Top Bottom