Recent content by mkosa yote

  1. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Tulinyanduana vibaya

    Jamii forum the home of great thinkers
  2. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Hivi vinavyopita hewani ni nini?

    Mtu aliyehusika na kupitisha hivyo vitu mithili ya nyota anyongwe hadi kufa.
  3. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

    Huyo anapaswa anyongwe hadi kufa.
  4. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    Hiyo ni sheria na ilisainiwa na JK.
  5. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    Kiufupi hii nchi mfanyabiashara unatakiwa uishi kimasta sana
  6. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    Kiufupi hii nchi mfanyabiashara unatakiwa uishi kimasta sana
  7. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    I Ipo Mkuu.Ya mwaka 2015 ila ilifanyiwa maboresho mwaka 2020 kuwaondoa makampuni ya Madini ambayo serikali ina shares. Kupitia hii sheria CG ana mamlaka ya kukusanya any default ya Kodi kupitia kwa third part(Mtu anayefanya biashara na mdaiwa wa kodi). Na sheria ina mlazimisha third part kutii...
  8. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Kutoka Utawala wa Chuma mpaka Utawala wa Chura Kiziwi

    Daaaaah 😂😂😂😂
  9. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Nimesikitishwa na Habari ya Watanzania Kupendelea Parachichi za Burundi Kuliko za Tanzania. Watafiti Wetu Mnafeli Wapi?

    Binafsi napendelea sana totoz za Rwanda kuliko za Tanzania. nawashangaa sana watafiti wetu sijui wanafeli wapi.
  10. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Nimesoma kuanzia juu hadi nilipofikia hapo uliposema mitihani isahihishwe upya halafu ifanyike standardization nikaacha. Afya ya mtu haina standardization. Tatizo vyuo vya afya siku hizi vimekuwa vingi. Matangazo kibao ya vyuo vya afya.Utasikia chuo kipo ghorofa ya sita jengo fulani...... Kweli?
  11. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. mkosa yote

    JamiiForums Tanzania Msaada, Carina TI inachelewa kuwaka, pia mlimani nikikanyaga mafuta kama ina mis

    Fundi wangu alinambia kama gari inamis kabla ya yote nimfate fundi yeyote anichekie vifuatavyo Kwanza nikae nayo mpaka mafuta niliyoweka yaishe na kuweka mengine kwenye sheli nyingine, kama tatizo bado then Plug then nozzles then Coil then nije kwenye mafilter huko ikishindikana nimwambie...
Back
Top Bottom