Recent content by mkorosho haramu

  1. M

    Tetesi: Viongozi wa Magufuli na Kikwete wenye HISA Dangote Cement ndiyo TATIZO Magufuli fanya jambo

    Sasa napata Picha nasikia Mkapa alimwambia Magu kuwa Tumzuie Dangote asijenge bandari yale. Picha linajifunua sasa inawezekana mgogoro upo kati ya Mkwere na Mmakuwa
  2. M

    Washauri wa Rais wanapatikanaje?

    Habari za majukumu wana jamvi. Natamani kujua hawa watu wanaoitwa washauri wa Raisi ni namna gani wanapatikana? Na je huwa wanastaafu? yaani kuna uwezekano Washauri aliowatumia Mheshimiwa Mwinyi, Mh. Mkapa, na Mh. Kikwete ndiyo hao anaowatumia Mh. Rais wetu Magufuri? Na je inapotokea Raisi...
  3. M

    Maswali gani ungependa aulizwe Rais Magufuli kwenye mahojiano ya Ijumaa?

    Mheshimiwa Raisi, Katika mwaka Mmoja wako uliopo madarakani kuna baadhi ya mambo inasemekana umekurupuka likiwemo, Kuhamia Dodoma, Kununua Ndege, Uhakiki wa vyeti haya yote yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida?
  4. M

    Gundu la kinyesi

    Mshana vipi na zile habari za kuangukiwa na kinyesi cha ndege kuwa una bahati au Gundu imekaaje hii?
  5. M

    Waliompiga Daktari mkoani Mtwara wakamatwa wakijiandaa kutoroka kwenda nje ya nchi

    Tangu Waziri Mkuu amtumbue jipu Dr. pale Ligula Hosptal inaonekana kama hawa madokta wana kamgomo cha chini kwa chini hivyo tukio la kupigwa kwa dr. inawezekana walipishana lugha kati ya ndugu wa mgonjwa na daktari nawasihii madaktari muwe na lugha nzuri.
  6. M

    Ni mkoa gani unaoongoza kwa kuwa na matajiri wengi Tanzania?

    Mkoa wa Mtwara wilaya ya Newala ndiyo unaongoza kwa mabilionea japo hawapendi sifa kama hao wa Arusha wanaotembea na bastola. Hawa mabilionea wa Newala pesa zao wanafukia mashambani na pia wengi wao hawajui kuandika
  7. M

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Moto upi huo? fafanua vizuri basi
  8. M

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Babu njoo huku kusini mwa tanzania ingia vijijini nunua mkaa wa kwenye viroba peleka dar kwenda kuuza inalipa sana ila mwanzo maliasiri watakusumbua ila ukiwazoea hawakunyimi usingizi
  9. M

    Gospel Music Kibiashara

    KKT, RC, AIC, Anglican ndiko kuna muziki wa kweli na baadhi ya wanakwaya wabinafsi wakaamua kujitenga ili wafanye muziki wa kibiashara.
  10. M

    Kituo gani kinarusha mkutano wa kwanza wa bunge la katiba.?

    Na lengo lao ni kuhakikisha serikali mbili ipatikane
Back
Top Bottom