Marehemu Baba yangu aliwahi kuniambia.
1•Siku zote kopesha kile kiwango ambacho uko tayari kukipoteza.
2•Ukitaka kudumisha urafiki kati yako na marafiki zako kamwe usiwakopeshe pesa. Bora umkopeshe pesa mtu asiye rafiki yako.
Shukuru Mungu wewe umekutwa - yeye +. Ataishi miaka mingi tu akizingatia dozi. Huenda aliambukizwa muda mrefu kabla haujahamishiwa Dodoma. Kupata ugonjwa huu wala sio ishu. Especially Kwa umri ulioenda kama huo. Watu wamepata ugonjwa wakiwa wadogo sana wengine 18. Dawa mbona akinywa vzr ataishi...
We una mambo ya kishamba sana. Hata kama dada yako alikushawishi. Akili za kuambiwa unashindwa kuchanganya na zako???? Ile siku ulivyoleta humu Uzi ulisema Kuna mtu wako wa karibu ulishuhudia akinunua mnyama na kulipwa na hukusema kama dada yako leo umepigwa ndo unakuja kulia lia humu. Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.