Recent content by Mkorintho 1V

  1. M

    Nimekosana na rafiki yangu baada ya kumdai pesa niliyomkopesha

    Marehemu Baba yangu aliwahi kuniambia. 1•Siku zote kopesha kile kiwango ambacho uko tayari kukipoteza. 2•Ukitaka kudumisha urafiki kati yako na marafiki zako kamwe usiwakopeshe pesa. Bora umkopeshe pesa mtu asiye rafiki yako.
  2. M

    Hivi kuna sehemu Tanzania umeme huwa haukatiki?

    Songea umeme haukatiki hata kidogooo. Hakuna mgao kabisaaa. Tunasikia tu kama kuna mgao wa umeme
  3. M

    Natoa siku 3 kuanzia Leo aliyegonga gari yangu eneo la club D Jijini Arusha na kukimbia la sivyo kitakachomkuta tusije kulaumiana

    Mzee wa Gamboshi..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] muweke kijambio kichwani huyo..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  4. M

    Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

    Usiongee kitu usichokijua. Kawadangaje wenzio huko mtaani sio hapa. Kitambulisho kile alichokua anajigamba nacho na ambacho hicho hicho alishikwa nacho sio cha tiss kile. Ni fake id,fake id,fake id, fake id.
  5. M

    Wizara ya Afya, TACAIDS na NACP wakija kupima Watu UKIMWI Kawe wakitukuta 90% hatujaathirika nao nakata Rufaa upesi sana

    Nimekupenda bure. Sasa tunafanyaje. Na mm ni walewale. Kupima mara kwa mara. Kwanini nisiwe side boy wako mama.
  6. M

    Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

    Shukuru Mungu wewe umekutwa - yeye +. Ataishi miaka mingi tu akizingatia dozi. Huenda aliambukizwa muda mrefu kabla haujahamishiwa Dodoma. Kupata ugonjwa huu wala sio ishu. Especially Kwa umri ulioenda kama huo. Watu wamepata ugonjwa wakiwa wadogo sana wengine 18. Dawa mbona akinywa vzr ataishi...
  7. M

    Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  8. M

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] shangazi aliyemeza panga...
  9. M

    Ushuhuda: Nimedhulumiwa na kampuni ya Sunranch

    We una mambo ya kishamba sana. Hata kama dada yako alikushawishi. Akili za kuambiwa unashindwa kuchanganya na zako???? Ile siku ulivyoleta humu Uzi ulisema Kuna mtu wako wa karibu ulishuhudia akinunua mnyama na kulipwa na hukusema kama dada yako leo umepigwa ndo unakuja kulia lia humu. Watu...
  10. M

    Dawa nzuri ya kumvuta mke ambae hataki kurudi kwenye ndoa

    Ameshaoata mtu wa kumsugua huko. Unalazimisha nini? Achana nae endelea na maisha yako. Huu sio wakati wa kuwalamba miguu wanawake.
  11. M

    Nimepotea naona giza kwa hii anasa

    Mtu yeyote ambaye havuti sigara, havuti bangi, hanywi pombe ulevi wao mkuu ni umalaya.. Hahahahha
  12. M

    Bado sijapona kumpoteza mwanamke aliyekuwa akinipenda kwa Dhati,

    Pole sana Kaka. Mungu akutie nguvu na akupinguzie uchungu moyoni. Amen
Back
Top Bottom