Recent content by mkongwe47

  1. M

    Kweli tutasalimika na kipindupindu

    Hapo mjini kati ,sijui pembezoni mwa jiji hali ikoje?
  2. M

    Kweli tutasalimika na kipindupindu

    Kwa hali hii tutasalimika na kipindupindu
  3. M

    Nionavyo: Azam Energy Drink ina madhara ukiitumia vibaya

    Nilikunywa mara moja nilijisikia vibaya sana moyo ukinienda mbio hiki kinywaji hatari
  4. M

    Katika maisha lilia bahati, Ona vijana wadogo wanavyoongoza makampuni makubwa!

    Tunachofikiria sisi ni msuguano na heshima bar ,hatuwezi kuwafikia hao jamaa
  5. M

    Nani hasa wenyeji Zanzibar?

    Visiwa hivi havina wenyeji haswa ,wote ni wahamiaji kutoka Asia na Africa
  6. M

    Uliza ujibiwe Kisayansi kuhusu viumbe pori

    Kuhusu ndege kasuku kuwa na uwezo wa kunasa sauti ,tupe ufafanuzi
  7. M

    TANESCO ya sasa na mgao wa umeme tutamkumbuka Muhongo

    Tanesco mwezi wapili sasa nimelipia luku naambiwa hawana mzigo dsm yote.je kweli watu hawa wako makini kibiashara
  8. M

    Tazama mpangilio wa ovyo wa jiji la Dar

    Mie huwa napata aibu ya hali ya juu nikishuka anga kuingia dsm maana wakati huo wageni wote huwa wanachungulia madirishani kupata picha ya wanapoenda mara kitunda hiyo buguruni, jamani aibu!
  9. M

    Utafiti: Kama huna hela kuishi jijini Dar es Salaam ni kuutaka ukichaa kwa makusudi

    Maisha ya dar magumu mno mulioko mikoani kama mnajimudu kidogo msithubutu kuja mtahuzunika .60/ ya wakazi wa dar hawana uhakika hata pa kulala vizuri na kula yao ya tabu sana
  10. M

    Dar Taabani kwa Foleni! Kuinusuru, Wengine wawe Deported, Vi Porte Vipigwe Marufuku Mjini!

    Jana nimeondoka k,koo saa 17:30 nimefika k,ndoni saa 20:15 ni shidaa
  11. M

    Bongo Lounge in Guangzhou, China

    Bomba sana nilikuwepo week iliyopita pametulia sana
  12. M

    Kwa hili, tIGO mtatukosa wengi

    Internet yao iko taratibu sana hata mimi huenda nikaikimbia mda si mrefu
  13. M

    Kigodoro-kantangaze

    Uhalisia kabisa ndivyo dar (uswahilini wanavyoshindana)
Back
Top Bottom