Mie huwa napata aibu ya hali ya juu nikishuka anga kuingia dsm maana wakati huo wageni wote huwa wanachungulia madirishani kupata picha ya wanapoenda mara kitunda hiyo buguruni, jamani aibu!
Maisha ya dar magumu mno mulioko mikoani kama mnajimudu kidogo msithubutu kuja mtahuzunika .60/ ya wakazi wa dar hawana uhakika hata pa kulala vizuri na kula yao ya tabu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.