Sasa kama walifika wa kwanza, okawaje wakaitwa wakoloni?
Hujasoma vizuri majibu yangu, watu wa asili ya visiwani walikuwepo. Ni wahadimu na watumbatu, waarabu waliwakuta hawa Zanzibar...
Sasa kama walifika wa kwanza, okawaje wakaitwa wakoloni?
Hujasoma vizuri majibu yangu, watu wa asili ya visiwani walikuwepo. Ni wahadimu na watumbatu, waarabu waliwakuta hawa Zanzibar...
Sawa. Hawa wa wahadimu na Watumbatu ni watu kutoka maeneo gani?
Waenyeji wazanzibar niwatumbatu ni kisiwa kidogo kipo ndani ya Zanzibar na kuhusu utajiri weupe weusi ni uwongo hakuna ukweli huo
mmmh !! mimi hiyo siijulii... chetu ni aL heri au Mwaderaa/MwangaLuka!! uKuLamtu!!Checheiii!!
mmh Ahsante kwa Umbmbu wangu!! Leo ndo tunaona UKOLONI wa MTU MWEUSI juu ya nduguye MWEUSI kwa macho yetu!! (nikutaiie mifano, akinanani?)wewe kweli mbumbumbu wa historia! Kama wenyeji walikuwa ni waarabu, ikawaje waarabu waitwe wakoloni huko zanzibar!
mmh Ahsante kwa Umbmbu wangu!! Leo ndo tunaona UKOLONI wa MTU MWEUSI juu ya nduguye MWEUSI kwa macho yetu!! (nikutaiie mifano, akinanani?)wewe kweli mbumbumbu wa historia! Kama wenyeji walikuwa ni waarabu, ikawaje waarabu waitwe wakoloni huko zanzibar!
mmh Ahsante kwa Umbmbu wangu!! Leo ndo tunaona UKOLONI wa MTU MWEUSI juu ya nduguye MWEUSI kwa macho yetu!! (nikutaiie mifano, akinanani?)
Zanzibar ni jina la KIARAABU na utamaduni uliyopo ni wa KIARAABU, Lugha izungumzayo ni KIARAABU, majina ya watu niya KIARAABU, mavazi ni ya KIARAABU, CIVILIZATION enedelevu ni ya KIARAABU, Majengo na ujenzi ni wa KIARAABU.... na ukiwauliza wakazi wote, wanaSiasa na wazaawa wote "Mnaegemea/Mnajinasibu na wapi " Mungu tena watasema UARAABU !!!!!
Luqash na wote.....mnaobisha!!