Recent content by mkongongojo

  1. M

    Ununuaji wa luku ni shida kwa wateja wapya Tanesco

    Tanesco ni maumivu. Ninavyofahamu mimi mteja wa Tanesco akishafungiwa mita na sili(seal) yake inafungwa siku hiyo hiyo. Mhasibu huwa anatoa sili kwa wafungaji mita. Matokea hazifungwi hizo seal ingawa mita zimefungwa. Unit za mwanzo zinazokuja na mita zikiisha kwa kununua umeme haiwezekani kwa...
  2. M

    Kuna shida ya uongozi kwenye nchi yetu

    Amesema matatizo na asema suluhisho ni katiba mpya ili vyama vya siasa visimamiwe
  3. M

    Kifo cha Hayati Dkt. Magufuli kimeipasua CCM. Je, huu ndio wakati wa wapinzani kutusua kisiasa?

    Weka uwanja sawa kwenye Uchaguzi . Uone nini kitatokea?
  4. M

    Askofu Niwemugizi amshauri Rais Samia Suluhu kuanza na Katiba Mpya

    Kwa hiyo unamanisha mwanasiasa tu ndo anahaki ya kuzungumzia siasa. Basi isingefundishwa mashuleni. Je watu wa fani zingine hawastahili kuzungumzia siasa? Maana tuna wahandisi, wachumi, madaktari n.k je unasemaje juu ya hilo?
  5. M

    Askofu Niwemugizi amshauri Rais Samia Suluhu kuanza na Katiba Mpya

    Je kiongozi wa dini hana haki ya kujadili mustakabali wa nchi yake? Au yeye amepoteza sifa hiyo baada ya kuwa kiongozi wa dini na Utanzania ameupoteza?
  6. M

    Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

    Neno ujinga sio tusi. Akielimishwa ujinga utatoka
  7. M

    Dhana ya kutochanganya siasa na kanisa na madai ya Askofu Emmaus Mwamakula juu ya mchakato wa Katiba Mpya

    Katiba si ya mwanasiasa ila inamhusu kila mwananchi kwa sababu ni haki yake. Awe mtumishi wa Mungu ,mwalimu,daktari au nafasi yeyote ile katiba ni muhimu kwake
  8. M

    Kukosa viongozi wenye utashi wa kukamata dola kumesababisha upinzani kuporomoka mithiri ya theluji inayoyeyuka

    Ushindi wa CCM umesaidiwa na NEC. Weka uwanja sawa katika pambano halafu ungekuja na maelezo hayo.
  9. M

    Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

    Upinzani upo ndani ya mioyo ya watu na usitegemee kwa waliofukuzwa uawanachama basi chama kitakufa. Wakati mwl. Nyerere akiwa Rais wa nchi kuna watu kama wewe walitamka hakuna wa kumrithi awe Rais. Lakini nchi inaendelea kusonga mbele. Viongozi sio wanaubemba upinzani ila wanachama na...
  10. M

    GE2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

    Na wale walioteuliwa na NEC wakati wananchi hawakuwachagua unasemaje na hapo?. Wananchi wamenyimwa haki yao ya kuchagua.
  11. M

    NEC yataka ushahidi vituo hewa vya wapiga kura kutoka kwa Wanasiasa wanaosambaza taarifa hizo

    Je katika kugawa vituo wadau walijulishwa? Ndo maana uwazi unatakiwa na kama si kusema hayo ingejulikana ?
  12. M

    GE2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

    Kutowaapisha mawakala si tatizo dogo kama unavyofikiria hii itafanya baadhi ya vituo vya kupigia na kuhesabia kura kukosa wakilishi wa kudhibiti kura. Chochote kinaweza kutokea kwa hujuma za kura.
Back
Top Bottom