Mmepewa assignment ya group,siku ya Presentation umesogea mbele ili uliwakilishe group Lecturer anauliza Umekuja kupresent?....Hapana nimekuja kucheza mziki wa Awilo
Kama aliweza Petit-Man kuwa na dada wa Diamond huku akiwa na uhusiano mzuri tu na Wema kwanini ashindwe Aunt?
Issue ni trust na kutopelekwa au kujiingiza katika migogoro isiyo na kichwa wala miguu kwa lengo la kuunufaisha upande mmoja
Tatizo lako huelewi,kamwambie padri wako alokulisha sumu hiviiiii,kadhi wanaomdai waislam wa Tanzania hatoshughulikia amambo hayo kwa sababu waislam ni waelewa sana na wanajua hii ni nchi na ina sheria zake.
Usibishane na watu wasioelewa hao dada angu FaizaFoxy mwishowe watasema hata vikundi maalum kama maalbino nao wasidai haki zao kisa?,inawabagua wao tu.
Wafanyabiashara ni watu wachache sana katika nchi hii tena wana pesa za kutosha,lakini serikali inagharamia mahakama yao na ina legal power...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.