Tujaribu kujikumbusha kidogo,,,hivi sababu zilizofanya Chloroquin kupigwa marufuku kama dawa chaguo ya kutreat malaria ilikua ni ipi!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea 2020 ipi,,,hiii hiii au ya uzao mwingine wq dunia.....!!??
Kama ni hii mkuu basi naomba nikwambie unaota ndoto ya kutisha san.....amka
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani we jamaa bhana, hebu tuelewe wew....kwa njaa yake alionayo ulitaka afanye nin.....kaamua kusave time kulia hapo hap bado unalalamika...!!???
Kuhusu mziki hata siwez kuona kama ni tatizo....ofisi nyingi za serikali wanaendelea na kazi huku ndani kukiwa kuna redio zikiendelea kupiga.
Sent...
Hakuna chama tena hapo......ccm sina imani napo tena....chadema ndo kabisa wamejizamisha wenyewe baharini kwa ubinafsi wa mjinga mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.