Endelea kuamini hivyohivyo...but we have prepared a special package full of suprises for you...invited to televise the new revolution mobie for new tanganyika and zanzibar
Weweeee...aende clinic kufanya nini?
Watu wanavyopatwa na msiba wa kufiwa na wapendwa wao huenda clinic ipi hasa?...
ajiongeze fasta ampige chini mama mtoto na mimba na amalizie kwa kufuta namba ya simu ya demu kisha aendelee na maisha...just simple like that.....
and that s a HEART OF A MAN.
Kwanini aombe uhamisho...anaogopa nini hasa au aibu ya nini kwa mwanaume?
Wala asiondoke aendelee na maisha hapohapo na akiweza akamate mwalim mwengine aweke ndani ajipatie wana wa damu yake na maunoni mwake
Sasa unashindwa nini kama mwanaume hapo?...
mwambie aende yeye na mtoto wake na mimba yake kwa huyo mwanaume na wewe kiroho safi anza upya...maisha ndivyo yalivyo.
unataka kusubiria nini hasa kwa huyo mwanamke aliyezaa na mtu ambaye mpaka sasa wanawasiliana na bado anakuto...mbeya standuppp...
Sshigongo ni mse....nge....rema kama wengine tuu...HIVI ANAKUMBUKA ALIVYOAMBIWA KUNYWA MAJI MWANANGU?....leo analeta dharau kwa viongozi wetu wa dini eti waongee na muhutu...over our dead bodies....YESU HAKUWAHI KUOMBA HURUMA YA PILATO...kamwe viongozi wa dini hawatompigia goti herode awape...
Wee ngosha wa buyenze....hapa hatuongelei viongozi wa upinzani...
tunaongelea vijana na watanzania waliochoka na unyanyasaji na ukiukwaji wa katiba unaofanywa na baba jesica....kama itatokea mauaji basi nibserikali itakayouwa raia wa nchi hii...
sisi raia tunaandamana maandamano ya amani...
EXPLICIT WORDS...PARENTAL ADVISORY...
kwanza samahani kwa kutaka uhakiki wa jinsia yako japo huko nyuma umeonyesha ni jinsia NGUMU kama mungu alivyotuumba lakini bado naingiwa wasiwasi na utendajibwako katika kuhandle social issues.
Unaonekana una moyo wa kike sana kiasi kwamba napata woga...
Wananchi tunajuwa cha kufanya...tar 26 april beba biblia au msaafu ingia road mpaka kieleweke zaidi ya hapo serikali ituambie imefanya nini kabla ya tar 26 maana tunayo list ya vitu mbadala ila italazimu wakati tunafanya wao wawe watazamaji tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.