Sishabikii upande wowote iwe Israel au Iran
Ila Israel alikuwa amejiaanda kwa shambulio la juz na alikuwa na taarifa za kutosha (intelligence) kuhusu hawa viongozi wa kijesh wa Iran wapi walipo tena inawezekana walikuwa kwenye meeting ndio maana kawaua kirahisi namna hii.
Wakati wa shambulio...
ITS THE GAME OF CHANCE.
Yaaah perfect chance ambayo Israel na Marekani waliyonayo kwa sasa kwa sababu kuu Mbili
1. Washarika wa karibu wa Iran yaan Russia na Syria tayari wamepunguzwa makali (Kivip?)
Russia ipo busy na Vita vya ukraine kwa mwaka wa nne sasa unakaribia. Nguvu na akili yote ya...
Kabisa kuna wanawake vilaza ambao hawajelew kabisa mkuu
Mme anahastle kuweka stock ya chakulq na mahitaji ya muhimu ili familia isipate shida na watoto Ila yeye anagawa vitu hovyo kwa mashoga zake hadi vinaisha
Unabaki kujiuliz vimeishaje na yeye Hana habari tena anajikausha Kama hajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.