Recent content by mkoba mweupe

  1. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Ndege 70 ziliruka kwenye anga ya Iran kujipigia, zijageuza zote, hamna hata moja iliyoangushwa

    Sishabikii upande wowote iwe Israel au Iran Ila Israel alikuwa amejiaanda kwa shambulio la juz na alikuwa na taarifa za kutosha (intelligence) kuhusu hawa viongozi wa kijesh wa Iran wapi walipo tena inawezekana walikuwa kwenye meeting ndio maana kawaua kirahisi namna hii. Wakati wa shambulio...
  2. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Ndege vita za Israel zaanza kupiga Jaramba kuelekea Iran!

    ITS THE GAME OF CHANCE. Yaaah perfect chance ambayo Israel na Marekani waliyonayo kwa sasa kwa sababu kuu Mbili 1. Washarika wa karibu wa Iran yaan Russia na Syria tayari wamepunguzwa makali (Kivip?) Russia ipo busy na Vita vya ukraine kwa mwaka wa nne sasa unakaribia. Nguvu na akili yote ya...
  3. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Team Shangazi hapa Nawakilisha 😁😁😁
  4. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    🤣🤣🤣🤣🤣
  5. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Higgno Fala kweli 😡😡
  6. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Dakika 50 sasa
  7. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Ahadi ni deni Sijalala nasubir bonus
  8. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Halafu tupia walau episode 2 sio moja
  9. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Usingizi hauji sisi team Higgno mpaka tupate Uhakika wa point tatu 😁 Wewe tupia tu sasa hv kabla hatujaandamana
  10. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Na Ngoma juu kaambulia Maana sio kwa ukurutu wa bi pengo
  11. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Hadi sasa hv Higgno 3 Soraya 0 Points tatu za ushindi kwa Higgno Team Iddy kama nawaona vile 😁😁
  12. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mkuu unavyozid kuchelewa kupost tunapata tabu sana
  13. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa enzi hizo mpo bado au yalishawafika? Tujuzane!

    Kabisa kuna wanawake vilaza ambao hawajelew kabisa mkuu Mme anahastle kuweka stock ya chakulq na mahitaji ya muhimu ili familia isipate shida na watoto Ila yeye anagawa vitu hovyo kwa mashoga zake hadi vinaisha Unabaki kujiuliz vimeishaje na yeye Hana habari tena anajikausha Kama hajui...
  14. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mmmh hatari yaani kila nikisoma naona fupj sana
  15. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Kumeshakucha Mkuu na Dar kuna kamvua flan hv hakajakatika toka usiku Hebu tupia Episode za kutosha tuanze weekend
Back
Top Bottom