Recent content by mkoba mweupe

  1. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Walimu punguzeni mitihani mashuleni.

    Walimu mna njaa sana punguzen vikoba vitawamaliza 🤣🤣
  2. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Walimu punguzeni mitihani mashuleni.

    Kabisa kabisa Wamezidi aisee, Yaaan Walimu wametufanya sisi wazazi ATM michango kila siku, hela za mitihani n.k Serikali iingilie hili swala yaani Ssasa hv shule za private zina afadhali kuliko za Serikal Mfano mzuri kuna shule hapa Chanika zinaongoza kwa walimu kufosi king Yaani wao...
  3. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng’ombe,mbuzi na kondoo kisha kuwauza

    Wenzetu hapo Kenya na South Africa wanatumia Eneo kidogo tu kufanya hii biashara Ila sasa gharama naona itakuwa kubwa Kama utawalisha Pumba tu na vyakula vya kununua bila Nyasi Mm nakubaliana na ww kwenye Eneo ni sawa kabisa Ila sio kwenye ukuaji bali ni kupunguza gharama za malisho
  4. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng’ombe,mbuzi na kondoo kisha kuwauza

    Haina madhara kwa kuku?
  5. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng’ombe,mbuzi na kondoo kisha kuwauza

    Duuuh Na wakanenepa vizuri?
  6. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng’ombe,mbuzi na kondoo kisha kuwauza

    Ni kweli kabisa ndio maana nimelileta hapa kupata ushauri na mwongozo
  7. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng’ombe,mbuzi na kondoo kisha kuwauza

    BIASHARA YA KUNENEPESHA NG’OMBE,MBUZI NA KONDOO KISHA KUWAUZA ( CATTLE AND GOAT FEEDLOTS Habarini wana Jamvi naomba kushare hili jambo kidogo tupate elimu,ushauri na changamoto zake. Kuna Hii biashara ya kunenepesha Mifugo hasa ng’ombe na Mbuzi Kisha kuwauza nasikia inalipa sana na inafaida...
  8. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Ndege 70 ziliruka kwenye anga ya Iran kujipigia, zijageuza zote, hamna hata moja iliyoangushwa

    Sishabikii upande wowote iwe Israel au Iran Ila Israel alikuwa amejiaanda kwa shambulio la juz na alikuwa na taarifa za kutosha (intelligence) kuhusu hawa viongozi wa kijesh wa Iran wapi walipo tena inawezekana walikuwa kwenye meeting ndio maana kawaua kirahisi namna hii. Wakati wa shambulio...
  9. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania Ndege vita za Israel zaanza kupiga Jaramba kuelekea Iran!

    ITS THE GAME OF CHANCE. Yaaah perfect chance ambayo Israel na Marekani waliyonayo kwa sasa kwa sababu kuu Mbili 1. Washarika wa karibu wa Iran yaan Russia na Syria tayari wamepunguzwa makali (Kivip?) Russia ipo busy na Vita vya ukraine kwa mwaka wa nne sasa unakaribia. Nguvu na akili yote ya...
  10. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Team Shangazi hapa Nawakilisha 😁😁😁
  11. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    🤣🤣🤣🤣🤣
  12. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Higgno Fala kweli 😡😡
  13. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Dakika 50 sasa
  14. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Ahadi ni deni Sijalala nasubir bonus
  15. mkoba mweupe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Halafu tupia walau episode 2 sio moja
Back
Top Bottom