Recent content by mkisoka

  1. mkisoka

    TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

    Moyo wangu umehuzunika sana kwa kifo cha Mwlm wangu mpendwa Bro. Peter Lyimo, pumzika kwa amani mwalimu. Ntabaki nakumbuka usemi wako mkubwa wa "Punctuality in the morning" nawaza pia kama mzee Rama naye (mlinzi wa getini) angekuwa hai vile ambavyo angelia kwa uchungu kwa jinsi ulivyokuwa...
  2. mkisoka

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Aisee. hii siriqal inayokusanya kuliko zote Mungu anaiona
  3. mkisoka

    Faida za kuwa Polisi, JWTZ au Usalama wa Taifa

    Hizi ndo mada na uandishi wa jamii forum ya leo
  4. mkisoka

    Magufuli ndo Rais wetu - safari za nje haendi wala ziara za ndani hafanyi

    Serikali inayokusanya mapato kuliko zote
  5. mkisoka

    Aibu kubwa: Uongo wa Brittanica na vijana wa Lumumba juu ya Barrick na USD Millioni 300

    Daaah! kwahyo alidanganya kwa faida ya nani? ili iwe nini? alafu baada ya hapo iweje yani?
  6. mkisoka

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Simulizi muruwa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mkisoka

    Mbunge wa Ilala (CCM) Mussa Zungu: Wafanyabiashara wamekimbia nchini Tanzania kutokana na kukosekana kwa mazingira rafiki katika masuala ya kodi

    ]Uzushi wa kiwango cha lami..weka clip tusikie wenyewe ukiwekewa hyo clip sijui utajisikiaje, sijui utateteaje hiko ambacho unakidefence kwa kukiita uzushi
  8. mkisoka

    Wagombea Ubunge wa CCM Simanjiro, Babati Mjini na Ukerewe wapita bila kupingwa

    Nilicheka sana ilipotamkwa hiyo sentensi
Back
Top Bottom