Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Umoja wa Ulaya (EU) umekanusha taarifa zinazodai Balozi wa umoja huo nchini Tanzania, Reoland van de Geer ametakiwa kuondoka nchini Tanzania.
"Kiukweli ameitwa makao makuu kwa ajili ya kushauriana, juu ya siasa na uhusiano wa baadaye wa EU na Tanzania".
Imetolewa na Msemaji wa EU Tanzania.
••••••••••
Hapo awali kulikuwa na taarifa inayosema, Serikali imempa masaa 24 Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) Reoland van de Geer kuondoka nchini Tanzania.
Van de Geer anatakiwa kutokuwepo ndani ya mipaka ya Tanzania ifikapo saa sita usiku wa kuamkia Novemba 4, 2018.
"Kiukweli ameitwa makao makuu kwa ajili ya kushauriana, juu ya siasa na uhusiano wa baadaye wa EU na Tanzania".
Imetolewa na Msemaji wa EU Tanzania.
••••••••••
Hapo awali kulikuwa na taarifa inayosema, Serikali imempa masaa 24 Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) Reoland van de Geer kuondoka nchini Tanzania.
Van de Geer anatakiwa kutokuwepo ndani ya mipaka ya Tanzania ifikapo saa sita usiku wa kuamkia Novemba 4, 2018.