WAZO:
1. Badilisha Katiba ya nchi ili itoe ruhusa ya matokeo kupingwa mahakamani;
2. Badilisha Katiba ili itoe ruhusa ya uwepo wa tume huru ya uchaguzi ambayo Rais hatakuwa na mamlaka nayo kwa jambo lolote hususani kuteua wajumbe wake kupitia chombo chochote ambacho kinasimamiwa na watu ambao...
Ingependeza sana kama Mhe. Spika angeonyesha "AMRI YA ZUIO LA MUDA (TEMPORARY INJUNCTION) KUTOKA MAHAKAMA KUU" ambapo Bunge lingezuiwa kutekeleza matakwa ya Katiba kwa lengo la kupisha usikilizaji wa shauri la msingi.
Mkuu, kwa dhati ya moyo wako kabisa, unataka kutuaminisha kuwa kuna mtu au taasisi (private or public) yoyote ambayo inaweza kukaidi (privately or publicly) maagizo (maelekezo) ya serikali katika nchi yetu bila kujali yanafaa au hayafai?
Nafikiri ni heri kuunga mkono wito wa PM kuwa tuwe...
Mkuu, imekaa hivi:
1. Neno "Katibu Mkuu Kiongozi" halijaandikwa mahali popote kwenye Katiba ya JMT, 1977 (as amended);
2. Ibara ya 36 (1) na (2) ya Katiba ya JMT, 1977, inampatia mamlaka Rais kufanya uteuzi wa nafasi mbalimbali za watendaji wakuu wa serikali ikiwemo "Katibu Mkuu Kiongozi "...
Sheria mama, Katiba, inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa sana ili kuweka mifumo huru na imara ya uchaguzi ambapo maamuzi ya wananchi yanaweza kuheshimiwa na sio vinginevyo.
Mkuu, hebu muulize huyo Mama Manyanya kuhusu maeneo ya Lituhi, Liweta, Ndumbi, Lundu, Hinga, Mbuli, Ngumbo, Mkili, Yola, Nindai na Tawi kama kuna huduma zifuatazo:-
1. Maji ya bomba;
2. Barabara walao za changarawe (habari za lami ni jambo tete) zinazoweza kutumika nyakati zote;
3. Masoko ya...
Ushauri wa kutaka mtu/watu wakariri vitu ambavyo wameandaa wenyewe? Ni ajabu sana, ukiwa umeandaa kitu kwa mikono yako, huhitaji kuchukua hata kipande cha karatasi ili kujikumbusha yale uliyoandaa wewe mwenyewe.
By the way, wasomi wazuri huwa hawategemei kudesa never.
Kwa sababu hujataka kutaja jina la mtu ambaye unafikiri angefaa zaidi kushika kibendera kwa niaba ya chama ulichotaja, basi, nafikiri mtoa mada wetu unatakiwa uwe ni mtu mwenye furaha kubwa sana wakati huu kwa kitendo cha chama ulichokitaja kuweka mtu ambaye unadhani ni dhaifu na asiye na maono...
Ni tangazo lisilokuwa na afya njema kabisa kwetu sisi ambao huwa tunapenda kusikiliza taarifa za habari pamoja na vipindi mbalimbali kutoka katika redio za mashirika ya kimataifa, hususani VOA, BBC na DW, kila inapofika saa 12 asubuhi, saa 7 mchana na saa 12 jioni hadi saa 2 usiku.
Kimekusibu nini hadi kutuandikia mambo haya? Ingefaa sana kama ungetoa elimu ya uraia kuhusu sifa za mtu anayefaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzingatia masharti ya Katiba na sheria zilizotungwa na Bunge letu tukufu.
Hata hivyo, uliyotuandikia ni sehemu ya haki yako ya...
My friend, I want to assure you that you're very correct that what I've written is according to my own view and not according to someone's view. I want you to understand that I admire Mr. Lissu for his unwavering fight for changes in our country. Regardless of the admiration that I may display...
Not only Mr. Tundu Antipasi Lissu who deserves our prayers but also any person matters in this country including our President, Dr. John Joseph Pombe Magufuli. For biblical purposes, all two persons mentioned herein are human beings who need our utmost prayers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.