Waziri Bashungwa na Dkt. Abbas muwe makini na kiki ya Yanga itawatokea puani

Hahaaaa tupeni majina ya hao mnaowataja wanabodi huyo tumbo kubwa na mwenye mashavu kama sijui nini tuwafahamu ikiwezekana mtupie na picha
 
Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba.

Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani. Msijaribu kuwapa adhabu Yanga wala TFF, pigeni kimya mmeshalikoroga na watu wote wanajua nyie ndio wachawi wawili ( Domo-Chaijaba na Mr.Mishavu).

Kama mna hekima hata robo ombeni msamaha kwa watanzania pia muweke mambo sawa hela zao zinarudi vipi.
😂😂😂😂 Mr Mishavu anavaa miwani.
 
Pamoja na huu uhuni uliofanywa na viongozi wa serikali lakini aliyefanya kosa kubwa kuliko wote ni Viongozi wa TFF.

TFF walikuwa na uwezo wa kukataa katakata kuairisha au kusogeza mbele muda wa mechi kwa maslahi ya mchezo wa soka.

Kwa kuwa kikao cha mwisho cha mechi (Pre match meeting) kilishafanyika hakukua na namna ya mechi hiyo kusogezwa.

TFF imetuangusha kwa kusikiliza ushauri wa ovyo kutoka kwa watu wasiojua mpira

Mkuu, kwa dhati ya moyo wako kabisa, unataka kutuaminisha kuwa kuna mtu au taasisi (private or public) yoyote ambayo inaweza kukaidi (privately or publicly) maagizo (maelekezo) ya serikali katika nchi yetu bila kujali yanafaa au hayafai?

Nafikiri ni heri kuunga mkono wito wa PM kuwa tuwe wavumilivu katika wakati huu wakati mamlaka za mpira zikifanya bidii za kutafuta ukweli na kutoa taarifa kwa wananchi.
 
Pamoja na huu uhuni uliofanywa na viongozi wa serikali lakini aliyefanya kosa kubwa kuliko wote ni Viongozi wa TFF.

TFF walikuwa na uwezo wa kukataa katakata kuairisha au kusogeza mbele muda wa mechi kwa maslahi ya mchezo wa soka.
Hatuna details na hatujui ni pressure kubwa kiasi gani viongozi wa TFF walikuwa subjected tu na labda walipambana vipi.

Barua ya TFF ukiicheck between the lines unaweza kuona kitu. Maneno haya “TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda kutoka Wizarani” sio ya kubeza. Huenda hakukuwa na room ya kureason out na wale watu waliocram kumfurahisha boss wao.

Yanga wamefanya sawa kabisa. Lazima tukokeshe huu utaratibu wa watu Serikalini kujiamulia tu kukanyaga kanuni na vifungu vya Katiba
 
Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba.

Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani. Msijaribu kuwapa adhabu Yanga wala TFF, pigeni kimya mmeshalikoroga na watu wote wanajua nyie ndio wachawi wawili (Domo-Chaijaba na Mr.Mishavu).

Kama mna hekima hata robo ombeni msamaha kwa watanzania pia muweke mambo sawa hela zao zinarudi vipi.
Wizara ina mbavu gani za kuziadhibu club?
 
Tanzania kila taasisi ni Tawi la serikali. Hakuna sehemu yeyote ina uwezo wa kupinga maamuzi ya serikali.

Tatizo linakuja kwamba hiyo Serikali ina wasemaji na watoa maamuzi wengi. Kila mwenye madaraka ana kauli. Ndio maana kila siku matamko yanatolewa na kukanushwa.
Kweli kabisa.
 
Hatuna details na hatujui ni pressure kubwa kiasi gani viongozi wa TFF walikuwa subjected tu na labda walipambana vipi.

Barua ya TFF ukiicheck between the lines unaweza kuona kitu. Maneno haya “TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda kutoka Wizarani” sio ya kubeza. Huenda hakukuwa na room ya kureason out na wale watu waliocram kumfurahisha boss wao.

Yanga wamefanya sawa kabisa. Lazima tukokeshe huu utaratibu wa watu Serikalini kujiamulia tu kukanyaga kanuni na vifungu vya Katiba
Maelekezo kutoka juu. TFF wapo sahihi.
 
Kibongo bongo huu wote ulikuwa mkakati wa kupiga hela. Mtaongea mwisho wa siku wahusika washachukua mpunga wao.

Mechi haijachezwa hivyo simba waliopaswa kuchukua hela hawatopewa. Hakuna dalili za pesa kurejeshwa kwa kila aliekata ticket hivyo hiyo ni ushindi kwa waliopanga mkakati wote huu. Karibu Tanzania, mwenye kuwahi siku zote ndio mshindi.
Itabidi CAG aingilie kati
IMG_20210412_105955_511.JPG
 
Hatuna details na hatujui ni pressure kubwa kiasi gani viongozi wa TFF walikuwa subjected tu na labda walipambana vipi.

Barua ya TFF ukiicheck between the lines unaweza kuona kitu. Maneno haya “TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda kutoka Wizarani” sio ya kubeza. Huenda hakukuwa na room ya kureason out na wale watu waliocram kumfurahisha boss wao.

Yanga wamefanya sawa kabisa. Lazima tukokeshe huu utaratibu wa watu Serikalini kujiamulia tu kukanyaga kanuni na vifungu vya Katiba
Kwa mantiki hii, viongozi wa TFF wapo ofisini mpaka sasa wanafanya nini?
Kama wanaweza kushinikizwa kuharibu mechi kimakusudi, ni maana ya kuwa viongozi wa chama cha soka?

Suluhisho la kwanza ni kwa viongozi wa TFF kujiuzuru. Haya mambo tukiyachekea sasa, yataendelea kujirudia siku nyingine.
 
Back
Top Bottom