Mwalimu Seme
New Member
- Apr 13, 2020
- 2
- 2
JUMLA YA FEDHA ZOTE ZILIZOTUMIKA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO- NYASA KUTOKA 2015 HADI FEBRUARY 2020.
___________________________________________
TSH.258,462,354,009(TSH. Bilioni miambili hamsini na nane milioni Mia nne sitini na mbili laki tatu hamsini na nne elfu na tisa)
1. SERIKALI IMETOA: TSH 256,288,625,906
2. MFUKO WA JIMBO: TSH 198,434,983
3. MBUNGE: TSH 228,040,000(mfukoni mwa mbunge)
4. WANANCHI: TSH 1,192,194,000
5. WAHISANI: TSH 555,059,120
Hongera sana Eng. Manyanya, kwa uwakilishi uliotukuka, imekuwa muwazi sana na hii ndiyo dalili ya uaminifu. Asante sana Dkt.Magufuli kwa Upendo wako kwa Jimbo la Nyasa, wanyasa wanakila sababu ya kukupigia kura nyingi ili ushinde kwa kishindo.
#CCM #JPM #NYASA #MANYANYA #HAPAKAZITU #NYASA
___________________________________________
TSH.258,462,354,009(TSH. Bilioni miambili hamsini na nane milioni Mia nne sitini na mbili laki tatu hamsini na nne elfu na tisa)
1. SERIKALI IMETOA: TSH 256,288,625,906
2. MFUKO WA JIMBO: TSH 198,434,983
3. MBUNGE: TSH 228,040,000(mfukoni mwa mbunge)
4. WANANCHI: TSH 1,192,194,000
5. WAHISANI: TSH 555,059,120
Hongera sana Eng. Manyanya, kwa uwakilishi uliotukuka, imekuwa muwazi sana na hii ndiyo dalili ya uaminifu. Asante sana Dkt.Magufuli kwa Upendo wako kwa Jimbo la Nyasa, wanyasa wanakila sababu ya kukupigia kura nyingi ili ushinde kwa kishindo.
#CCM #JPM #NYASA #MANYANYA #HAPAKAZITU #NYASA