wewe na lowasa ficheni ujinga wenu msifikiri watanzania wote wapumbavu.hata kama unatafuta kura si kwa ulaghai kiasi hicho.funguka kama kweli wewe ni msomi usiwe mchumia tumbo.
Haya tuseme picha za tarehe tofauti je yeye huyo mtafiti?kama ni yeye basi msikimbilie hoja dhaifu za tarehe na makandokando yake.hapo tu utafiti unakuwa maana kama ni MTU huyo huyo.
Kinachowaponza hamtaki kuelezwa ukweli.subiri baada ya oktoba utamwelewa mwanakijiji ambaye baadhi yenu mnasema anaishi ughaibuni wakati tuko nae huku uswahili.shame on you
Umeandika vizuri tatizo ni kwamba hataweza kusimama kwa nusu SAA kueleza hayo?kwa huo wingi wa watu ataendeshwa na mihemko na jaziba matokeo yake mambo ya msingi kama uliyosema hatazungumza.ata generalize mambo utashangaa.subiri uone.muda mwingi watautumia viongozi wa ukawa kuitukana na kujibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.