Recent content by MKenya halisi.

  1. MKenya halisi.

    Kumbe kweli

    Never trust anybody under the sun.
  2. MKenya halisi.

    Sitaki kuolewa

    Uamuzi bora sana, waeleze na hao mamazako wasiwe wakikusumbua sumbua kukuuliza swali kama hilo tena.
  3. MKenya halisi.

    Chakii amefiwa na dada yake

    Poleni sana kwa msiba.
  4. MKenya halisi.

    Dume zima unafanya birthday.

    We kama hupendi kufanya Birth Day,we mezea tu hata ukialikwa usiende.
  5. MKenya halisi.

    Ombi langu kwenu

    Naona mkuu umejitetea kwa picha kabla kuitishwa,ilikuwa karibu tu nikuitishe. Anyway wadada wenye kuvaa nguo za kubana kama hizi huwa wananikera sana.
  6. MKenya halisi.

    Napendwa hadi nahisi dunia yote ni yangu!

    Then congratulation mkuu.
  7. MKenya halisi.

    Napendwa hadi nahisi dunia yote ni yangu!

    Na wewe je unampenda vile anavyo kupenda?
  8. MKenya halisi.

    I am thinking about cheating on him

    What I was to say will make you hate me forever,So I better be quite.
  9. MKenya halisi.

    Wanaume, mnaweza kumlizisha mdada/mke aliye keketwa?

    Hizo antenna sasa...Ndio balaa!!!! Bila antenna network inakuwa down,Unakula corner mkuu, ukizuba zuba unawezakuta antenna za kwako missing.
  10. MKenya halisi.

    X wako akifanya ivi ana maanisha nini?

    Anataka kukuharibia na mpenzi uliyenaye kwa sasa,akiziona hizo sms tu kwisha!!
  11. MKenya halisi.

    Kuoa name kuolewa.

    Nimo humu humu mkuu.
  12. MKenya halisi.

    Kuoa name kuolewa.

    Hicho kijitabu ulicho soma ninashauku nacho!!!
  13. MKenya halisi.

    Naombeni msaada, mke wangu baunsa ataniua

    Sasa kama rafikizako uliowaamini walitolewa mbio sisi ndio tutaweza kwelia mkuu? Anyway tuliza mzuka tupe mda tuchape zoezi tuje tumtimue.
  14. MKenya halisi.

    Hatimaye mapenzi yameniumiza kwa mara nyingine tena!!

    Rule no.5 Take time to fall in love deeply
Back
Top Bottom