Kukaa kimya juu ya jambo ambalo hulijui ni busara pia. Ndugu ni bora ukabaki maana inaonekana hujui uhasibu wa ukaguzi kwa hiyo hapa utatusumbua kukuelewesha
Mkumbuke serikali huaanza kupanga bajeti ikisha ndio hutafuta pesa kwa ajili ya kuzitumia ni tofauti na kwenye private budget ambayo hupangwa kwa mujibu wa fedha zilizopo na kujaliziwa kwa fedha za kukopa. Ikiwa serikali imekusanya 25 trilioni maana yake matumizi yake yatakuwa ni hiyo 25...
Suali jepesi la kujiuuliza ina maana haya maelezo aliyotoa naibu waziri jee hayukuwepo wakati wa exit meeting na CAG? Jee CAG hawana uelewa wa tofauti ya cash basis na accrual basis? Kwanini CAG atoe hati chafu yaani modified opinion kwenye consolidated financial statements za serikali bila ya...
Hii ishu ya vibamia naona ni kama vile watu wanamkufuru Mungu. Hivi mwenye kibamia alikwenda kumuomba Mungu ampatie hiyo size? Na huyu ambae ana bilinganyi jee yeye ndio kapata kwa sababu mjanja sana au inakuwaje? Mungu anachokupa ndicho alichokiona yeye kinakufaa.
ziara ya mfalme wa morroco ni kweli ilikuwa na lengo la kutaka support juu ya mzozo wa sahara magahribi lakini msimamo wa Tanzania bado uko vile vile licha ya jamaa kujaribu kufanya ushawishi. Tanzania imejengwa kwenye misingi ya Utu. Na support ya Palastine ni kwa msingi huo.
msimamo wa Tanzania dhidi ya israel uko wazi miaka na miaka tokea enzi za Nyerere na hiyo sera haianwahi kubadilika. Kama ambavyo haujabadilika msisimamo kuhusu jimbo la Biafra na Sahara ya Magharibi dhidi ya Morroco. Israel hawana tofauti na Makaburu wa Africa Kusini na huu ndio msimamo wa...
wakiristo wengi hawaijui Israel na wala hawataki kujifunza historia. Anyway chuki dhidi ya uislam na waislam inawafanya wawatukuze hawa viumbe lakini undani wake ni kwamba wayahudi kwao wao waislam na wakiristo wote ni maadui zao na ndio ukaona hata huko Palestine wanaochakazwa kwa mabomu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.