Eli79 sijui kama ulinisoma vizuri, nilisema alishuka njiani, kushuka njiani na kumwacha njiani ni mambo mawili tofauti, sikumshusha bali alishuka, na nilimuita lakini hakurudi ulitaka nimsubiri au nimfuate? gari ya kwangu na yeye ana ya kwake, na ata kama ningekuwa naendesha ya kwake na akashuka...