Mkuu nipo jamii forum Toka 2015 nafatilia huu Uzi MUDA sana Nina experience ya kujua mambo madogo madogo kutoka kwa mabraza humu pia nimejiandaa MUDA mrefu sana toka nipo chuo mwaka wa pili Nina maswali kada yangu zaidi ya 3000 aptitude test yapo kichwani, learning theories, communication...
Mm saili Moja tu nafanya naingia kazini nmejiandaa muda mrefu kwaajir ya kuwakanda utumish nitasema siku nikiitwa usaili na ntaleta mrejesho sitafanya Saili mara mbili
📊 MAKADIRIO YA VIFO VYA VITA KWA KUZINGATIA DINI ZA KITAIFA (Nchi zenye Wakristo wengi vs Waislamu wengi)
✅ 1. Nchi zenye Wakristo WENGI (Christian-majority countries):
Vita vikubwa vilivyotokea kutoka nchi hizi ni:
WWI (1914–1918)
WWII (1939–1945)
Vita vya ukoloni Afrika na Asia
Vita vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.