Recent content by Mke wa Mzungu

  1. Mke wa Mzungu

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Yani Miss Chagga umeongea kweli tupu. Yani akatubu na afungue siku 40, shetani mkubwa. Anatutia aibu wanawake wote.
  2. Mke wa Mzungu

    Oresund: Daraja refu barani Ulaya lililopita chini ya maji

    Nakuunga mkono. Yani hata kwa miaka 5 tu.
  3. Mke wa Mzungu

    jinsi ya kumtoa msichana usichana wake

    Ha ha ha jamani umenichekesha, mbavu zangu mie.
  4. Mke wa Mzungu

    Japo sikukubali, Lowassa umenifundisha mambo makubwa 08 yafuatayo...

    CHENGU MANURE Umesema ukweli mtupu. Mimi pia nimejifunza Mengi na umefanya nijue Mengi. Asante.
  5. Mke wa Mzungu

    Je, ni kweli wababa hawana mchango?

    Wababa michepuko imewazidi, wanasahau hadi familia zao
  6. Mke wa Mzungu

    Lulu Michael Dazzles in This New Look

    Ebu mumuache mtoto wa Watu. Binadamu hamna huruma. Nenda mahakani kaulize kuhusu Hilo.
  7. Mke wa Mzungu

    Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

    Sheria ipo ya kuhusu pete ya uchumba. Ila Watu hawapendi kuitumia. Wanaona kupoteza muda. Kama mtu hakupendi ni hakupendi tu.
  8. Mke wa Mzungu

    Jirani yangu kanivamia na kuniporomoshea matusi

    Nenda kamshtaki police, amekudhalilisha. Kama ana ushahidi atoe sio lawama tu.
  9. Mke wa Mzungu

    Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

    Sidhani Kama Wema anaumia. Nahisi kwake yeye ni Kama ule msemo usemao kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Yeye ndo kaacha, I believe alikuwa na plan yake. Hakuacha kiolelaolela.
  10. Mke wa Mzungu

    Bungeni Leo - Aprili 1, 2015: Bunge laahirishwa ghafla, Muswada wa Vyombo vya Habari kusomwa!

    [QU OTE=HarakatiNews;12322467]Kama hukuona kilichotokea bungeni nakuwekea video clip hapa Asante sana. Aisee nilikuwa mbali nashukuru umetuma. Uchaguzi mwaka huu patashika.
  11. Mke wa Mzungu

    Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

    Aliona tangazo hili ni muhimu sana na ndomana akaomba wadhamini.
  12. Mke wa Mzungu

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusiana na Muswada wa Mahakama ya Kadhi

    Hi wewe upo sawa kweli. Katiba ni ya nchi nzima na si waislamu au wakristu. Hii nchi haina dini. Katiba inatakiwa iwe neutral. Si kwamba tunapenda kuingilia dini yenu, asisheni hiyo mahakama wenyewe bila kuhusisha serikali, why mnapenda vya bure. Hata wakatoliki wana mahakama Yao, umeona wapi...
  13. Mke wa Mzungu

    Ushauri: Kaolewa na mzee anataka niwe nae naogopa

    Wewe una yako, ulitongoza ya nini Kama huna imani na ufanyacho? Umekula ng'ombe mzima then unashindwa kumaliza mkia. Mfyuu
  14. Mke wa Mzungu

    Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

    Le mutuz ana kimbelembele. Ka chakarika anajua lazima apate chake hapo. Yeye na bibi Sinta ndo washenga katika hili.
Back
Top Bottom