Recent content by Mke halali na chupi

  1. M

    Ualimu ni kazi au shughuli?

    sio wakati wa kulalamika ni wakati wa kuangalia ni jinsi gani utaweza kupambana na maisha halafu umesema unamkopo uliolea nini? au kama vipi acha kazi na unakoelekea utakuwa tapeli,kwel kazi ya ualimu ina mshahara mdogo ila kuwa hata mjasiriamali
  2. M

    Mbona haja niomba hela ya siku kuu?

    lipi jema akikuomba pesa unakuja hapa jf unalalamika kuwa anakuchuna akikuacha unalalamika!
  3. M

    Kanichanganya mwenzenu

    Piga kmya ulee mtoto wako ukimwambia unaweza ukasababisha ugomvi mkubwa mpaka mkauana
  4. M

    Msaada wa mawazo nimepata mchumba wa kisukuma

    ndoa njema ila baada ya miezi 6 urudishe mrejesho wa tabia yake
  5. M

    msaada wakupata itv jamani

    njia nyingine bonyeza menu>ok>dvbs installation>ok>tp list>ok>kuna page itatokea kwenye tv yako yenye frequency za tp list kisha bonyeza kitufe cha bluu kwenye rimote yako kuna kiboksi kitatokea katikati ya tv yako kisha bonyeza ok kwenye kile kiboksi acha mpaka ionyeshe chanel scan complete...
  6. M

    Kwa mfalme hodi!! Hodi! Hodi tena

    Naomba mnipokee wadau
  7. M

    Naomba kujua uhusiano uliopo kati ya maumivu ya kiuno na kutokufanya mapenzi kwa muda.

    mwambie afanye mazoezi ila kutofanya mapenz kwa muda mrefu havna uhusiano kwa mwanaume labda angekuwa 'ke'
Back
Top Bottom