Recent content by mkazi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Ununuzi wa Spare BEFORWARD!!

    Kwa wale mnaotarajia kununua spare Kupitia Beforward Japan mnatakiwa kujua kuwa sasa wamebadili utaratibu kutoka ule wa kupokea spare ikishafika. Sasa Spare ikifika unaifanyia clearance kama vile ukinununua gari. Utaratibu huu mpya ni usumbufu mkubwa kwa wanunuzi kwani fixed costs mbali na kodi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kadhi's court: A voice from a Muslim woman

    Another way out, out of this Kadhi-no Kadhi mess, is to make it completely voluntary. I am not conversant in law matters but its my belief that Stringent Observers of Islam who wishes to have their matters resolved through Islamic means could just be served in a way that is favorable to their...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Hizi Biashara Kichaa zina sifa kuu 2. Hukusanya watu wenye tamaa/shida/uwezo mdogo wa akili Huvuma kwenye nchi zenye kipato cha chini. Hadithi za kuwa makao makuu yetu yako marekani/ulaya blah blah blah ni njia ya kukusanya akili kwa watu wa kundi namba moja hapo juu Sababu ya kuvuma na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wa kiushauri- wapi naweza kupata Shrink Dar es Salaam

    Salam, kwa muda mrefu nimekuwa nasumbuliwa na matatizo ya binafsi,na nimekuwa nahitaji ushauri wa kitaalam,pia kuwe na confidentaiality katika huduma hiyo,hivyo siwezi kuwaomba ushauri watu ninaowafahamu kwani kunaweza kuwa na conflict of interest.,bahati mbaya sifahamu wapi ninaweza kupata...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Open space Kibada,kigamboni imeuzwa kwa mtu binafsi??

    Ndugu si uoga,narudi nyumbani usiku kila siku.(wakazi wa KIGAMBONI wanaijua adha ya pantooni)weekend nikiwa nyumbani hizo ofisi huwa zimefungwa,pia natumia weekend kusalimia ndugu na jamaa. nimeuliza humu ndani nikiwa na imani kuna wenye ufahamu juu ya kinachoendelea kwenye eneo husika
  6. M

    JamiiForums Tanzania Open space Kibada,kigamboni imeuzwa kwa mtu binafsi??

    nilikuwa kwenye gari,na ndani ya eneo la uwanja kulikuwa na vijana wenye mashoka na vifaa vingine wakichimbua magoli ya mpira uwanjani hapo,sikutaka kuwaingilia,maana sikujua mood yao.leo nitajitahidi nipate picha za karibu.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Open space Kibada,kigamboni imeuzwa kwa mtu binafsi??

    habari zenu wakuu. kwa wadau wa kigamboni,hasa wakazi wa maeneo ya Kibada karibu na FULL SHANGWE watakuwa wanafahamu kuhusu uwepo wa eneo kubwa la wazi pembeni ya FULL SHANGWE..eneo hili limekuwa likkitumika kama kiwanja cha michezo kwa muda mrefu sasa,siku za hivi karibuni kuna "fence"...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Manunuzi online - je ni yapi ya kuzingatia kuepuka kutapeliwa?

    nimekujibu in your inbox,tafadhali tazama cheers!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Manunuzi online - je ni yapi ya kuzingatia kuepuka kutapeliwa?

    Provide a link to the website,I will assist to do the quick audit for you.without knowing the actual website or nature of service its tough to advice.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    Tanzania Hatuna Taratibu za kufuatilia uhalali wa vipato vya watu,mamlaka yetu ya Mapato haina weledi na uwezo kama wa IRS ya marekani,hivyo ni vigumu sana kuweza kuthibitisha mali za wahusika. Tumeanza kuchukua hatua kurekebisha mfumo ili kuweza kufikia sehemu ambayo mali za mtu zinaweza...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    sifanyi kazi NSN wala VODACOM, sifahamu,naongelea mambo yaliyowekwa wazi,na sio yasiyokuwepo.au nisiyoyafahamu. Tatizo hasa liko hapo kwenye hizo nafasi za uongozi wa kati,kwani ndio zinawaandaa wazawa kunyonya ufundi na weledi wa kuongoza mashirika ya kiufundi.wakitoka wakienda mashirika ya...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    hawa wafanyakazi wa NSN wameleta malalamiko yao kuhusu upindifu wa sheria kwenye ajira za wageni.wewe unaongelea biashara za viwanja,huoni kuwa wewe ndio unapotezea mada yao? mtu akileta mada kuwa wafanyakazi wa ardhi wanaonewa a,b,c watu tukianza kuelezea kuhusu rushwa iliyokuwepo wizara ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    nadhani wafanyakazi wa NSN ni uthibitisho tosha imeandikwa na nani.uthibitisho mwengine ni majina ya hao wafanyakazi wasio watanzania huko NSN
  14. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    kwa kampuni kama NSN kitengo kimoja kuwa na wafanyakazi 15 wa kigeni sio jambo zuri.kazi wanazofanya Tanzania sio kazi zinazohitaji uwe umetokea ufini yalipo makao makuu ya NSN.na kwa kutazama asili ya majina yale wafanyakazi 9 wana asili ya india/pakistani waliobaki ni waafrika ya kusini na...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom tz kwafukuta..

    Wizi uliosemwa na huyu bwana MdogoWenu hauna proof,ingekuwa vizuri angewataja kwa majina,ikiwezekana akaandika na Barua kwa uongozi wa juu wa NSN an VODACOM,akiambatanisha kwa wakuu wa usalama wa nchi hii,kama kweli ana ushahidi wa kutosha wa wizi huo.mbali na hapo si busara kuwaita wafanayakazi...
Back
Top Bottom