habari zenu wakuu.
kwa wadau wa kigamboni,hasa wakazi wa maeneo ya Kibada karibu na FULL SHANGWE watakuwa wanafahamu kuhusu uwepo wa eneo kubwa la wazi pembeni ya FULL SHANGWE..eneo hili limekuwa likkitumika kama kiwanja cha michezo kwa muda mrefu sasa,siku za hivi karibuni kuna "fence" imewekwa maeneo ya kuzunguka eneo hilo na magoli yaliyokuwa yanatumia yameng'olewa.
Watanzania tumekuwa wepesi kulalamika maeneo ya wazi yakiporwa lakini huwa hatutoi taarifa mapema uvamizi unapoanza,wakazi wa kibada naomba ufafanuzi wa hili.
nimeambatanisha na picha za eneo husika.kwa wenyeji wataweza kulitambua,hapa nimelipiga eneo kwa nyuma.
kwa wadau wa kigamboni,hasa wakazi wa maeneo ya Kibada karibu na FULL SHANGWE watakuwa wanafahamu kuhusu uwepo wa eneo kubwa la wazi pembeni ya FULL SHANGWE..eneo hili limekuwa likkitumika kama kiwanja cha michezo kwa muda mrefu sasa,siku za hivi karibuni kuna "fence" imewekwa maeneo ya kuzunguka eneo hilo na magoli yaliyokuwa yanatumia yameng'olewa.
- Je?kuna mtu amenunua eneo hili?
- Kama ni manispaa imeamua kuliendeleza kwa nini hakuna kibao cha kuonesha aina ya mradi unaoendelea?
- Kwa waliofuatilia video,na ramani za mjo mpya wa kigamboni,eneo hili limekuwa "earmarked" kama open space.kwa nini linawekwa fence?
Watanzania tumekuwa wepesi kulalamika maeneo ya wazi yakiporwa lakini huwa hatutoi taarifa mapema uvamizi unapoanza,wakazi wa kibada naomba ufafanuzi wa hili.
nimeambatanisha na picha za eneo husika.kwa wenyeji wataweza kulitambua,hapa nimelipiga eneo kwa nyuma.