Hii ina ukweli sana,kuna Baba mmoja alimpa mimba mdada mtaani 6 months kabla hajamuoa mchumba wake. Ilijulikana lakini akasamehewa,hapa tunapoongea wana nearly 20 years ya ndoa lakini mbaba ana watoto wengine kama 5 nje ya ndoa Na mkwewe kamzalia watoto 4.mkewe wala hajui, so this is the power...
Hakuna maumivu kama mume kuzaa nje ya ndoa, yaani anakuwa amekudhalilisha sana katika jamii ,you won't be able to walk head high anymore as his wife! So humiliating
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.