Weekend story: Bad wives

Weekend story: Bad wives

Duu his ni zaidi ya addiction!! Looking for the next episode.
 
Amar ni bonge la fighter, namuadmire mshkaji cku zote haplan kufel
 
Lara moko.. Naona unainspire vijana.. Nmeanza kuona mwigo wa nyuzi zako humu JF..
 
MR. POLICE MAN.

Not that i i have forgiven nor forgotten what they did to me, but i was just living to get them another day. Even when life was so hard i just moved on so that i can get back to them. I still like the girl but not that i was of pure heart and i had forgiven everything.

Baada ya ufirauni ule alionifanyia Amar, niliumia sanaaaa. Ila mda huo Amar alikuwa na uwezo na connections za ndani kabisaaa, haikuwezekana kumfanyia kitu chochote. Baada ya kumaliza shule nikahamishiwa ofisi ya upelezi wa makosa ya jinai kitengo cha wizi wa kalamu.

Ile kampuni ya kina sidney ilivoibiwa na mzingira mazima ya tukio lile, nikajua tu Amar anahusikaaaa. Ila sikuwa na ushahidi wa moja kwa moja wa kumtia hatiani. Na kama nilivohisi akaiba kampuni zingine na zingine mpaka walivoiba kiwanda cha cement tukamdaka dogo mmoja. Dogo bwana baada ya kumbana na kumpa kichapo akasema Amar hammjui wala hajawahi kumuona. Tukambanaa sanaa, akasimamia hamjui Amar kabisaaa. Nikambana dili za kiwanda cha soda alileta nani?

Akadai dili alileta mkaka mmoja anitwa Skinny, nikamuonesha picha ya Amar akasema sio yeye. Kumbana Skinny ni nani hajui, anamjua kwa sura na hilo jina la Skinny basi. Kiu yangu ya kumfunga Amar ikanifanya nisikate tamaa, niakenda kwa Hr wa ile kampuni ya soda, na kumuomba picha za wafanyakazi wote wa mikoa yote na kumuonesha yule jizi tulie nae mikononi.

Kazi ilichukua wiki 3, ndo kumjua Skinny ni Sued na anafanya kazi hapo hapo mpaka mda huo tawi la Iringa. Nikamuibukia Freddy Iringa, na kumuweka chini ya Ulinzi, nikampa ofa y akikatili, either aniletee Amar au nitamfunga yeye Sued, dada yao ambae ni punda, na mama yao anae uza gongo tandale afu watoto wake wanao lelewa na huyo punda wakose msaada wowote wakione kitaa. Freddy akakubali kishingo upande kuniletea Amar. Na sheria nimkamate kwenye tukio kuwe na ushahidi na kila kitu niweze kumfunga bila jasho.

Kweli Sued akadeliver habari amabazo zilisaidia kumdaka Amar kwenye tukio huko Tanga, walienda kumvamia muhindi ambae alikuwa na pesa ndefu ya kwenda kununulia mkonge aupeleke India. Sikumpata kwenye tukio, sababu Amar ni mchora ramani, he is never the muscle, only the brains, ila nilimdaka kwenye mdako, akiwa na zile silaha zilizotumika. Hakuwa na namna ya kutoka. You wouldnt believe he offered me all the money to let him go, but no, i wanted him to rot in jail. Nilikamilisha upelelezi vizuri pamoja na mawakili wa bei mbaya aliokuwa nao alipata miak 2 jela na asitumikie chini ya miezi mi 3.

Pongezi zilikuja mda mfupi tu, kabla Amar hajaanza misifa huko jela, na kuwa best friend wa General, kitendo kilichopelekea General anisonyeee hadharaniii bila sababu baada ya kuambiwa mimi ndo nilimkamata Amar. General akasababisha mpka boss wangu IGP anione sina maana yoyote na wakanipa nafasi ya kusoma China. Ile naasi nilipoipokea tu, nikajua Amar ataachiwa kwa namna yoyote ile, anyway sababu wali ni compensate na hio opportunity nikayaacha yapite. Na kweli siku ya uhuru Amar alipata msamaha wa Mh. Raisi.

Once a thief always a thief, kumuweka ndani ndo nilifanya makosa kabisaa maana alitengeneza mtandao kabambeee ndani ya majeshi yote sio polisi tu. He bacem untouchable. Ukimfungulia file, leo, kesho hulikutiii. Lilishaibiwa na kupotezwa kitambooo. Kwa utawala wa IGP yule Amar alikuwa kashinda, ila nikajua IGP sio Mungu, atastaafu na atakuja IGP mwingine, i waited in vain, praying and hoping that day will come.

By the time IGP kaondoka madarakani Amar hakuwepo mjini kabisaa, na nilimtafuta na kuja kugundua yupo US huko bila shaka huko alikuwa anaendeleza uhalifu mwingine kwa kiwango cha juu sanaaa. Mjini kukawa shwariii. Na mimi boss wangu mpya akawa ananikubali sanaa maana kazi zangu nikawa sipindishi kabisaaaa. Nafanya kazi safi na zinaonekanaaaa na kila mtu. Nikapanda vyeo vya kutosha

My love life moved on well, i had a nice girlfiriend katoka familia yenye uwezo, msomi na mwanamke mwema kwa kweli. Nikiwa katika harakati za kutaka kumposa ndo Amar na Sidney wakarudi, na Sidney sikuwahi kumuona ila nikapokea taarifa ana mimba kubwa tu. Baada ya mda mimba ikatoka, na nikasikia mambo hayakuwa mazuri kati yao. Radar nio muwekea Mar haikuwa ya kitoto. Nilijua lazima Amar atafanya uhalifu wa maana tu soon.

Nilivokuwa obssesed na Amar, it took toil to our relationship na gf wangu. I worked late hours kitu ambacho toka tujuane hakikuwapo, i worked weekends, life with Amar was a roller coaster. My girl couldnt handle the hit akaniacha na kwenda nje kusomaa, sasa nikawa na all the time in the world kudeal na Amar.

Mwisho akaachana kabisaa na Sidney wakawa wanaishi mbali mbali, wala sikupata wazo la kumtokea au kutamani kumtokea wala nini. She just became someone i knew from the past. Trus Amar like i suspected hakurudi bongo kizembe there is a big catch. Mara akanekana na Singasinga ambae inasemekana ni Mpakistan anajifanya Singasinga na ni mwanachama wa kuaminika wa Alqueda, na ametumika sanaa pia na Alshabab, ambae alikuwa nchini kwa biashara ya ufuta ambayo ni kama front. Kuonekana kwake na Amar ikaashiria Amar ashaingia kwenye mambo ya ugaidi na sitokuwa na budi ya kumkamata na kuzuia vitendo vyovyote vya ugaidi kutokea baada ya kulipua ubalozi wa marekani miaka ile.

Singasinga alikuwa chini ya uangalizi wa Interpol ila kama walimchoka maana haeleweki, na hasomeki, kama anahusika moja kwa moja kama hausiki ville he just happens to be in a wrong place at the wrong time. Either way i needed to get to the bottom of this.

Then i got a call from Amar himself he wants a meeting, at firts i thought maybe he wanted to turn himself in which would have saved me a great trouble, but instead he came to bargain for his freedom in exchange of his girlfriends life. Hahahaaa! So like Amar. Maybe because the girl ditched him so he though i didnt know and i would think he gave her to me. I was not gonna play his game.

I wanted to be IGP one day and that was gonna need big and bigger cases. Hii ya Amar na Singa singa nikaipeleka kwa boss, na boss akaikubali kabisaa, kwamba we need finds from abroad, na kama singasinga anahusika na Amar anahusika wakikamatwa huku nchini kwa jitihada zetu, na mtandao wao kufichuka mi na boss tutakuwa vizuri sanaaa. Akanionya niifanye kwa siri kubwa, wala nisifungue faili la wazi sababu pamoja na AMar kufilisika bado kuna polisi walikuwa loyal kwake, watampa taarifa na kuharibu kila kitu. Nikihitaji msaada wowote niombe msaada kwa interpol ila sio polisi wa ndani, ambao wana njaa za hatari.

Kumpata Amar ni kazi kuliko kazi yenyewe, he had balls to come to my office, look me in the eyes, and offer a fale appology. He implied i was bitter. I was not bitter, i was venomous. Hata Sidney nilikuwa sijamsamehe kabisaaa, but i respect women, i always treat women nicely, so i hated her from afar. Then likanijia wazo sababu nampeleza Amar nikipitia kwa Sidney naweza pata data nyingi sanaa ambazo zitanifaaa na kufanikisha huu upelezi. After all mwanamke yule bado namtaka leo kesho, sawa kanitendaaa ila nikijiburudisha nae sio tatizo kabisaaa. Kwanza wanawake Mungu alituletea tujiburudishe nao. I can mix business with pleasure.

Nikawaza i cant walk up to her and say Hello after so many years, i needed an epic come back. Kuna kibaka kinondoni nikampa kazi, kuna demu mzembe mzembe nataka umpore pochi, umtetemeshe, afu mi nitakuja kukukamata na kukuachia, sawa. Yani unamseti mi najitokeza nakupa kichapo afu chobingo nakuachia. Kweli siku hio akiwa mazoezi anakimbia, mi nimebana kona, kibaka kamvamia hakuwa na pochi akataka kumpora simu, nikasema ngoja zipite dakika 5 ndo nijitokeeze. Kuja kushtuka kibaka yuko chini, demu anakimbia zake aha stress. Kumchungulia kibaka kashachomwa kisu cha mkono saa nyingi, she was really Amars woman.

Baada ya mbinu hio kufeli, nikaamua kuja na plan B. Nikawaambia wamkamate Amar wamuweke ndani bila kosa la kueleweka. Akiwa ndani, nikajua Sidney lazima aje amtoe, na kweli baada ya mda Sidney akaja. Akiwa anataka kumtoa wanamletea ngumu, and now they were broke, they couldnt afford any lawyer, she was panicked, yelling, frustrated, polisi wametia ngumu. Nikajitokeza kama sijui kinachoendelea na kumsabahi, Sidney! Alivoniona alitetemekaaa. Alilowaaa. Nikapita ndani. Akajikusanya akaja kuniomba, msaada Amar atoke. Sikuringa wala nini, nikajifanya wa msaada mkubwa, kwenda kuuliza kafanya nini, nikafoka foka pale, na kugomba aachiwe hara sanaaa. Wako ndio boss, ndio bosss. Amar akaachiwa. Ila Amar hakujua kama mimi ndo nimemtoa. Nikamuomba Sidney namba sio kwamba sikuwa nayo, ila nilitaka anipe yeye. Kwa wema ule hakuwa na jeuri ya kukataaa. Akataja namba nikai save

Wakaondoka wote, that was enough to get me with her, ila me being a police and all she wasnt gonna trust me easly i needed a bigger cover for her to trust me. Ningeibuka tu na kumtongoza angehisi kitu na haikutakiwa ahisi chochote. Nikaanza kumchezesha makida makida kwa kujifanya secret admier. Namtumia maua ofisini kila jtatu just because it is monday. Wanawake wanapenda vitu vya kijinga kijinga usiwaze. Na chat nae, umepata maua. Ata first she was cold, alikuwa ananijibu kunya hatariiii. Ila baada ya vizawadi zawadi akaanza kunijibu fresh. Akiniuliza we nani, namwambia mapema sanaa utanijua tu. Siku ya birthday yake nikamtumia kimkufu chenye kidani cha bunduki, i knew she liked gangstars so i tried to be a gangstar to.

Nikamuomba tuonane ikiwa zimepita wiki 4 kamili tangu tuonane polisi, akakubali. Na alivoniona ni mimi akastukaaa sio kidogo. Ila nikamtulizaa kwa kumwambia i loved her all the way toka mda ule na i was waiting for her, which was a lot of lies for one night. Nikamsindikiza kwake Masaki, sikutegemea vingiii, ila nikajitutumua kumsindikiza mpaka mlangoni. Nikajitia kuaga, nikashangaa napewa mabusuuu mfululizo. Nikajikuta naingia ndani.

Kufika ndani binti harembi kabisaa she meant business, naona mkanda unavuliwaaa, nikachukua pisto iliokuwa kwenye soksi nikaiweka pembeni nifaiidi mambo mie, Suruali ikachojolewa. Sababu sikuwa nimepanga ni kama nilifanyiwa ambush nikaamua kuwa mtazamaji tu wa hii mechi ya ghafla. Mara nashangaa napewa BJ, she was nasty, she was bad. Nikalishwa mzigo bila kingaaa. Sasa ningefanyaje mnadhani wasomaji nisionekane shoga mwenzenu.

Wiki 2 baadae tumeonana ananipa kipimo cha mimba mambo positive. Tobaaaaaaaaaaaaa!

ITENDELEA KESHO SAA 7 MCHANA.
 
Haaaahaaaa!! Lara1 kiboko! Mr Policeman! !!!! Ahsante kwa uhondo dada yangu.
 
Umeniweza kwa umaliziaji huo. Macho kodo nikitegemea bukavu fanani utaenda. Anyway, acha niandae somo la kesho kondoo washibe.
 
lara 1 naona umeamua kunyegesha watu, walaaah sio kwa stori hii kesho leta usiku wote wa kanisani tushatoka.
 
Sisi wasomaji hatuna cha kusema Mr afande, Hakuna jinsi ndio ushalishwa mzigo kingaless.
 
ahahahaa Mr policeman haa poor him
yaan ataangukia pabaya

Team Amar beib hata kama ni Jambazi I am with him
team Amar....
 
AFU MNASHINDWA KUELEWA HADHIRA MPO WENGI, KUNA TEENAGERS, WAZEE, VIJANA, WATOTO, WALIOSOMA, WASIOSOMA, USWAZI, WEZI, WAFANYA HARAMU, WALOKOLE, WACHUNGAJI, DEVIL WOSHIPERS, ETC. WOTE NYIE HADHIRA YANGU, NA MIMI NDO FANANI WENU. NI KAMA MAMA NA WATOTO WAKE, NAWAPENDA WOOOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZENU.

EVERYBODY HAS A STORY TO TELL. NDO MAANA NABADILIKA BADILIKA SANAAAAAA. SIBAGUI KUSEMA MIMI NALETA STORY ZA OFISINI TU, KAMA HUJASOMA NA HUNA OFISI UTAJIJUUUU, AU NALETA STORY ZA KIDINI TU, KAMA HUNA DINI UTAJIJU, AU NALETA STORY ZA KISHIA TUUU, KAMA SIO WA KISHUA UTAJIJU, AU ZA USWAZII TU, AU ZA WANANDOA TUUU, KAMA HUJAOLEWA BASI, AU ZA MABACHELOR TUUU.

MIMI KAMA FANANI NABADILIKA KILA STORY, KUJARIBU KUIFIKIA STORY YA KILA MMOJA WENU. NDO MAANA KILA STORY INA KIKUNDII CHAKE CHA WATU. LEO ZAMU YA MA HARDCORE. STORY YA KI HARDCORE.

CC Ficus

FANANI WA KWELI HUWEZI KUKUBALIWA NA KILA MTU, KILA SIKU. KUNA SIKU FANANI NIKIJA KWENYE MRENGO WAKO UTAFURAHIII NA KUONA FANANI SI NDO MIMI, NA KUNA SIKU NIKIENDA CONTRARY NA IDEOLOGY ZAKO BASI UTAONA FANANI HAMNAAA, HAMNAAA KABISAAAA, PAKO VOID TU. HAHAHAAAA.

ILA KAMA FANANI NAFARIJIKA SANAA, KUPATA FEEDBACK KAMA HIZI OUTRAGE, DESPISE, EMOTIONS, INAONESHA STORY IMEKOLEA.
U good sweetheart
 
THE PRESENT (Sidney)


Not that i didnt like Amar, i liked him a lot, and i could swear at one point in life i loved him to death, of course before he turned into a total jerk and a broke ass. Him i liked but i also liked finer things in life, the good life you know. Bora usiwahi kushika hela maisha yako yote kuliko ushike hela afu ije ikimbie cause you will know exactly what you are missing and it is not a feeling you will wish to entertain.


I couldnt figure out what made me despise Amar more, the fact that he was broke, or the fact that he always can do anything and everything but he couldnt save our baby. Maybe both, maybe either but i was so done with his broke ass. Now that age has gone, dating again was not a life in the park either. I could tell Amar was having the time of his life, fucking his sorry life off with loser girls.


Mnaweza kuhisi labda mimi kumuacha Amar was an easy decision like i woke up one day and i was done, hell no. How could i. It was disappointment after disappointment after disappointment. You can imagine. . There was cheating, serious cheating, different girls, different stories, then there was the lies, and there were the moods and bad temper and his lazy ass not wanting to do anything all day rather than sit on the couch.


Well i wasnt getting any younger, neither was he, i just decided maybe it was time to call it quits. Waliachana princess Diana na Price Charles itakuwa sisi. He didnt want to break up not until i lit fire crackers up his ass and he couldnt take it any more and moved out the house willingly. Hahahaaa! I would yell and nagg at him all day everyday, i would denny him sex, i wouldnt cook, wouldnt wash for him, or do anything. Nikaanza mpaka ku flirt na wanaume wengine anaona kwenye simu naongea naoo yupo hapo hapo akileta kwere namkumbushia mafumanizi niliomkuta nayo. Mwisho akaona tutakuja kuuana akaamua kuhama mwenyewe.


Baadae akaja kuniambia kanitafutia nyumba Masaki, he is changed, he wants us back together, and he has money comming in soon. Kunitafutia nyumba was so like Amar, after all i was not gonna pass that offer, nikakubali kwa masharti nitaishi peke yangu pale, mpaka nitakapo jiridhisha kabadilika ndo nimrudishe. Actually i was not taking my chances asije pata hio hela kweli afu nikawa nishajambia kwa mbele.


I wasnt seeing anybody serious, Joey wanted to come back, nilivosikia mkewe alimdevorse, na alisign prenup kwa hio hakutoka na kitu, he was lost in the bronks, doing shitty jobs. So he wanted to come back ila hakujua wapi pa kuanziaa ndo kujaribu kunitumia mimi kama laverage, thinking kwamba maybe even this time Amar yupo. Kumbe angejua huku mambo magumu hatari. Even as dumb as i was nisingeweza kuanza nae upya. If i was gonna get somebody he should be an upgrade of Amar.

I hated my job, i hated my life, i hated everything and every one. I was bored to death. Without Amar life could be really a bore. My neighbours were so boring i swear i couldnt stand 2 minutes with them. Those idiot women. Kazi kusifia wanaume zao asubuhi mpaka jioni. Life can really test you by everything happening at once or nothing happening at all. I guess my life was on the nothing happening at all phase.

One day as i was running someone tryed to mug me, you bet i shoved a knife on him, bahati alijikinga na mkono. Trust Amar nilikuwa siwezi kwenda kokote bila kisu. Utakaaje kizembe zembe mjini hapa, unaweza shangaa akaja mtoto na bis bisi na kukutemesha mpaka mkojo ukakutoka.

Then there was the day Amar was locked up, na hana mtu wa kumtoa. Kwa jinsi alivofulia isingekuwa rahisi yeye kupata mtu wa kumtoa jela. Mjini watu ndugu wa pesa. Kama kawaida anajifanya hana kosa lolote kawekwa tu ndani bila sababu. Trust Amar he can look you in the eyes and lie on your face. Nikaenda kumtoa, na kweli baada ya kufatilia he did nothing for the first time he told the truth. Nikawaza maybe he is changed

You bet tulikosa msaada pale kituoni, hela hatunaaa, kufatilia tunazungushwa tu. Kama bahati nikamuona Afande, yuleeee afande wangu wa kipindi kile, kwanza hizo nyota alizokuwa nazo sio za kitoto. Nikajisemea tu Amar humu hatoki leo wala kesho. Kama ni huyu ndo kamuweka ndani amekwishaaa. Baada ya kusota sanaa, nikajizoa zoa mpaka kwa Afande, nilikuwa naogopa sio kwa kumuacha kule jamani, nikajua he would be beyond mean. Ila tofauti na matarajio yangu akawa tu mtu anaejali like he has alaways been, akanisaidia kuchimba mkwara pale mpaka Amar akatoka.

Sikutaka kumwambia Amar kuwa afande kamtoa sababu angejirudisha ndani na kujiloki kwa jinsi alivo mkorofi yule hahaaaa. Akajua labda nimefanya fanya manuvaaa akatoka. Na sababu pekee hakulipiza kisasi kwa kuwekwa ndani ni alikuwa na dili muhimu sanaa analifanya ambalo hata mimi aligoma kabisaa kuniambia linahusu nini wala nini.

Basi usiku ulikuwa ushakuwa mkubwa, tukaenda wote masaki, kiukweli alitia huruma kuwekwa ndani bila kosa, na lile swala la Afande kuwa boss mkubwa pale lilinitetemesha sio kidogo, it made me feel pity on Amar akija kujua, na tulivomfanyia, angepanic kabisaaa. One thing led to another which led to another, tukaanza kubusianaa. Na Amar mambo anayajua sio kidogo, na nilikuwa nimemisi sio kidogooo. Ikabidi tu niji enjoy kwa usiku huo. Mambo yalikuwa matamuuu sanaa, na yalinoga balaa sasa sijui kwa sababu ilikuwa kitambo toka tupeane sijui. Ila usiku kucha ni mechi ilipigwa.

Asubuhi nikamuandalia chai kabisaa nikaenda kazini, huwezi amini nilikuwa tayari kumsamehe arudi pale tuanze upya kuishi wote na kujipanga na mashambulizi ya Afande. Siku nzima ofisini namuwaza yeye, mawazo ya upendo na furaha kubwaaa. Nawaza nirudi nimpikie chakula anachokipenda, tupeane mambo tenaaa. Kiu yangu nilio kuwa nayo haikuwa ya kukatika siku moja.

Nimerudi kwa bashasha kibao, Nimefika kwanza nampa mabusu kibaoooo, na Amar tenaa kwa kuonesha ushirikiano hana mpinzani. Nikasema niende kwanza uwani kukojoa nasikia kuna harufu ya perfume ya bei rashisi mbaya mbaya tena naijua ni Kullusumu. Nikahisi labda nanusa vibaya. Nikaenda chumbani kunusa shuka ndo lina harufu hatariiii.

Nikamfata sebuleni, hawezi kuingiza mwanamke ndani kwangu, mchana kweupee, wakati jana nimekesha namkatikia maunooo. Nilimfurumushaaa sio kidogo. Anaapa kwa Miungu ya kwao hajaingiza mwanamke mule ndani kwamba i got this all wrong. Nikamwambia sawa kama hujaingiza mwanamke umeingiza shoga, na huyo shoga anapaka perfume za bei rahsi kaicha bafuni na kwenye shula langu, mbwa mkubwa. Akaanza kumlaani tena huyo mwanamke kwamba why was she so dumb kupaka perfume wakati alimwambia wawe discreet na awe makini kutokuacha ushahidi. Ila aliondoka. Yaani alinikeraaa sio kidogo

Mara inaingia sms ya kimahaba namba mpya usiku huo. Nikajua tu Amar ananichezea picha la kihindi nikamjibu kunyaa, sio kwa umalaya huu alio uanza khaaaaa. Asubuhi naenda kazini nakuta roses nzuriii sanaaa. Hata sikujichoshaa nikajua ni Amar tu huyo. Zile sms zikaendela kila mara. Siku Amar akawa amekuja kuongea mambo ya kazi akaniuliza anaweza kufanya transactions ila akazunguka internal na external controls, yaani alitaka kufanya transactions ambazo hazitaonesha ni yeye au kumuhusisha yeye like afungue kampuni over seas, afu hio kampuni itumike kutuma hela kwingine just his usual criminal lives. Nikamwambia nitamuulizia kwa wataalamu wa Bank pale. Kabla hajaondoka nikamwambia Amar miua yako unayotuma kila jumatatu inatuletea nyuki ofisini, sikutakii, quit playing games, na kunitext na namba mpya hakutosaidia i know it is you. Na hio Janese dinner ulionishikia bango forget it

Amar akakataa sio yeye, with a lier of Amars caliber sikushangaaa. Ila kunitoa shaka akaniambia kama ingekuwa mimi Sidney siwezi kukuletea roses wakati najua for a fact unapenda Lillys na Orchids zaidi. Huyo anaekuletea roses hakujui vizuri na hawezi kuwa mimi. After all mimi najua you hate sushi you hate Japanese kwanini nikuoffe dinner ya hivo. Ingekuwa mimi nisngekualika dinner, ningekupeleka Serengeti picnic cause najua for a fact you love nature. You just have a secret admier. Nikupelelezee ni nani? Nikamwambia basi nenda, tushamaliza hapa.

Kweli kwa sababu alizotoa Amar isingeweza kuwa yeye. Na kule nisha kunyaaa hatari mda wote najua ni Amar. Ikabidi tu nibadilike na kuwa sweet ghafla. Thank you for the flowers za kutosha, chat za kutoshaaa. Still nilikuwa sijui nani ila my second guess ilikuwa atakuwa Joe keshaingia mjini. Ila Joe akanipigia na namba ya US so bado alikuwa kule. Nikakosa kabisaaa. I wasnt planning to be an easy catch.

Ila nilianza kuumwaa, najisikia hovyo hovyo, nikaanza kutapikaa, mtu ofisni akatania una mimbaaa. Nikastukaaa. Nikawahi nyumbani kupima kitu na box! Tobaaaaa. Na ni wiki 4 tu tangia nilale na Amar. Akili ikanichemkaaa sanaaa. Mwanangu anahitaji baba na Amar sio baba wa maana wala nini. Sawa kuna hela alisema atapata sipopata je? Maisha yakawa magumu ghaflaaa. Nikasema sababu soon nitazaa na kuanza kulea wacha niende nikafaidi maisha na secret admirer.

Kila siku ananiomba tukutane namzingua, siku hio nikamkubalia Japanese huko huko potelea pote. Nikawahi kufika, baadae akaja Afande. Sikushtuka sanaa wala nini, nikajua labda kataka kunichamba basi roho yake irdhike. Tofauti na matarajio yangu he was so nice, so loving, so caring, so Fatherly. Desperate times call for desperate measures. Nika bond nae fasta fasta, throwing myself at him, mda ulikuwa hamnaa kabisaa toto tayari lina wiki 4 tumboni. Wazo la kumbambika ile mimba nililipata pale pale na kulitekeleza

Afande akajiloga kunirudisha mpaka mlangoni yaani sikumkumkawiza nikaanza kumpa mate, akakolea kuingia ndani nikajua kazi imekwishaaa, hachomoki na mtoto wa buree ndo kashajipatiaaa. Nilimpa mambo usiku kuchaaa, kavu kavu, goli za kutosha, sasa angebishaje kama mtoto sio wake. Kwisha habari yake. Kuweka mazingira vizuri kesho hakunitafuta wala nini nikamtegea siku nzima kimyaaa. Namna gani tena baba kijacho huyu. Nilinunaaaa. Nikawaza kweli wanaume bila ndumba na samasoti hawaendi kabisaaa, la maana niende kwa kugwi sijui shangingi mstaafu whatever anipe mawazo, huu sio mda wa kucheka na kima. Kama ameweza kumbambika mtu mitoto mi 3 haka kamoja hakatomshinda kunisaidia mimi kumbambika yule Afande.

Nimetua kwa kungwi, sikumficha chochote nikamueleza A to Z akanisikilza, akasema sio kesi, hatushindwi. La maana muanze wewe, kumbuka wewe ndo ulie mkoseaga zamani. La maana we muanze tu kwani nani kamuanza nani umri wenu huo haina maana wala nini. We muanze tu. Nikakubali. Ila nimefika kwangu roho ikagoma kabisaa kumuanzaaa. Nikalala.

Usikuuu kabisaa saa 5 ndo anapiga Afande, wala sikumlaumu, nikashukuru hata kapiga, akaomba msamaha alikuwa kwenye mission muhimu hakuwa na simu, moyoni nikajua tu alinipa ubavu yakamshinda, ikabidi anianze. Basi namchombeza, jana usiku ilikuwa tamu sanaa, njoo tenaaa. Anaruka viuzi tu Afande yule. Nikamwambia basi nije hapo kwako mimi, bado anaruka tu viunzi, ila sikuwa na shaka sanaa mara moja ilitosha kumpa ubaba wa kumpakazia.

Nikasubiria tu 2 weeks, akajichanganya twende dinner tena, nikabeba kipimo changu it is better sooner than later. Tumekaaa tu nikamwambia kuna good news, akashangaa zipi tenaaa dear? Nikampa kipimo. Akapagawa kama dakika 2 au 3, baadae akajitia kufurahiaaa. Sasa sikujua ndo nishafanikisha kumbambikaaa au ndo ana buy time afanye upelelezi wake, ila nikajiaminisha hawezi jua maana tunaojua ukweli ni mimi na kungwi tu, na kungwi hawezi kuniuza somo wake hata iwejee atakuwa hajafundwaa.

Basi jioni hio ikaisha kwa magazijuto hivo hivo. Mda wa kuondoka akanisindikiza mpaka ndani kabisaa, nataka kumpa mambo akachomoa kabisaa, akadai kesho ana kazi inabidi awahi kuamka, na sikukubali kirahisi nikawambia na mimi najisikia vibaya siwezi kulala peke yangu, navojisikia Mungu tu anajua. Mama kijaa tenaaaa. Akapata mawazo. Akakubali kulala pale.

Ila ndo akashinda na CNN kwenye kochi, mi nimelala chumbani mpaka saa 8 naona mtu haji kabisaa, sikukubali kirahisi inaitwa Die hard nikamfata kwenye kochi nambembeleza tukalale, anadai kuna habari za muhimu anangojeaaa. Na mimi nikamlalia pale pale kwenye kochi, basi kila saa najikuna mmbu. Akaingiwa imani, akasema basi twende chumbani kwenye neti. Chezea mimi nyie. Chumbani kaingia na sarawili zake, maana sio suruali kajibanza mwisho kabisaa. Mi nikajitia kulala. Nageuka geuka mpaka nikamfikia kumlaliaa, kumpima tu. Ikabidi anikumbatie tenaaa angefanyaje sasa, na joto lilishamgusaa.

Aubuhi akaenda kwake, mi nikaenda kazini. Mchana akaniuliza unaendeleaje mama Kija. Nikamjibu sijambo, ila Kija leo hana neo katuliaaa. Jioni nilikuwa nimechoka so sikutaka kumbanaa sanaaa. Kwanza ubaba wenyewe fekerooo, nikaamua tu nitalala peke yangu nitafakari mustakabali wa hili picha nalolicheza mwisho wake utakuwa nini. Amara nilikuwa sijamwambia wala sikutaka kumwambiaaa kabisaa. Na nisngekuja kumwambi kamwe labda sijui kitokee nini apate hizo hela na ziwe nyingi sanaaa.

Saa 3 nimelala, nasikia mtu anagonga, nikajua kungwi, kufungua Afande kaja na Pajamas. Nikafungua fastaaa mlangooo, namwambia nilijua leo hujii. Afande anasema ungeumwa usiku ingekuwaje, nilienda kwa Dr akasema wiki 8 za mwanzo ni ngumu sanaa kwa baadhi ya kina mama. So nikawaza unaishi peke yako ukiumwaa nani atakusaidia. Mi wala sikujikawizaa nikaanza kumpa mate Afande, nimefanyia mautundu kwenye busu hilo mpaka nikamtia nyege ila afande mgumu yuleee sijapata ona.

Usiku nimemchokoza chokoza wapii anachomoaaa, mwisho nikamwambia tu bwana baba Kijacho mimi nina nyege, hali ya mama kijacho inaleta nyege mbaya sanaa sasa unanisaidiaje, na njia inabidi tutanue. Hahahaaa! Mimba ya wiki 6 inatanuliwa njia. Nikaendelea kumfanyia utundu pale akaingia kingi, basi usiku mzima tunapena mambo. Japo hajui mambo kama Amar ila nae ana ufundi wake na utamu wake.

Tumelala wote wiki nzimaaa. Mama kijacho tenaaa. Wiki ya 2 akaniambia hajisikii vizuriii kulala nyumba ya mwanaume mwenzie, analala kimachale machale ana hisi mda wowote Amar ataufanyia ambush, hivo kwa usalama wetu na mtoto nihamie kwake. Kwake huko ni kota za poilisi za Obay lakini, kule Amar hawezi kuja mda wowote, hatdhubutu na ujasiri wake wote. Kiukweli sikupenda kwanza hamna pool kama hapa, pia hamna AC, hapa ni pazuri hatariii. Nikamgomea. Akasema haji tena kulala pale, ila nikijitafakari nikiona vipi niende kota namba flani, akaiacha funguo.

Kungwi ndo wa kwanza kunitisha wewe cha masihara hio hali sio ya kukaa peke yako, shauri yako, na maneno kibao. Hakuja wiki nzima, ila simu anapiga, na anakuja ofisini kuniona kila siku. Mwisho nikamwambia nimekubali kuhamia kota ila itabidi uniwekee Ac kwa kweli joto la Dar baya sanaaa. Akafurahiii. Nikachukua nguo nikaenda. Kungwi akaja kunisalimia anasisitiza be nice to him. Be very nice to him, kuliko hata ulivokuwa nice kwa Amar.

Anasisitiza ishi kama mkewe, kusiwe na uwazi, mpikie, mpe mambo kila mda utao wezekana, kusiwe na ratiba, chance lolote likitokea mpe mambo tu bila kujali nini wala nini. Yaani kuwa mkewe kabisaa simamia show, kuanzia misosi, mavazi, kila kitu, aone tofauti tangu uwepo na kabla hujakuwepo. Usimuulize mambo ya kazini kwake atahisi Amar kakutuma umpeleleze. Kungwi wako nipo karibu kukushauri.

Kiukweli kota palinishinda na kunikeraa, kwanza miundo mbinu ilikuwa haifaiii kabisaa. Pili umbea wa majiranii, tatu it was so local and i liked finer things in life. Siku hio hio ya kwanza kinyume na kungwi alivoelekeza nikayatibuua kwa kumngangania turudi kule. Alikuwa mkali kama pili pili. Nilimwambia tu kwanini anakuwa mbishi tusiishi kule kwenye appertments. Akawa mkali, mimi haya ndo miasha yangu, kama unanipenda na tunazaa lazima ujue haya ndo yatakuwa maisha yetu kila siku. Kama siyawezi bora nikajitoa mapemaa, yeye sio muhalifu kama Amar na hana hela kama Amar za ku afford place like that. Mishahara ya serikali sio mikubwa wala hapkei rushwaaa. Pouvu lilimtoka ndoo nzima.

Akahama na chumba na kuniachia master. Kiukweli maisha yalikuwa magumu sanaa kwangu. Amar nae nikawa simpati kwenye simu, wala sijui alipo. Akanuna wiki nzima, sipiki sifanyi chochote, jioni na oda zangu Pizaa nakula nalala. Nae tunasalimiana tu anaingia chumbani kwake anajifungia. Kidogo nirudi kwangu Masakai. Kidogo. Nikawaza ukute AMar kafa au yuko jela itakuwaje kodi ikiisha, nikajishusha siku hio karudi kajifungia chumbani kwake, nikaenda kumgongea naomba ukae na mimi sijiskii vizuri. Kweli nilikua sijiskii vizurii

Basi akaenda kunichukulia panadol, homa ikapoa, Panadol alizifata mbaliii sanaa, karudi nimekunywa namwambia na hamu ya samaki wa kuchoma wa kawe. Akauliza mbona hukusema wakati nafata panadol. Akaamua kuniambia vaa twende, nikasema nimechoka kaniletee. Akaondoka kanunaaa sio kidogo. Kumleta yule smaki harufu tu ikanichefua, nikamambia siwezi kumla. Akafokaaa sio kidogo, nikawaza nikamla hivo hivo kibishi, kipande cha 3 nikaanza kutapika, tapika na wewe. Akajisikia vibaya. Mi nikaend akuoga kwanza, nikakuta kafuta amatapishi yote. Akakoroga na uji. Nikanywa ule uji, nikaenda kulala. Akaja kulala kule kwetu, aniangalie homa usiku kucha.

Kesho tukawa tuko poa, kungwi akaja na kunilaumu kwa kutomtiii mafunzo yake. Akanisiminga hatari. Siku hio nikapika, akaja akala, tukawa tuko poa, mpaka jioni akawa yupo kwenye Tv, mafunzo ya kungwi kichwani ya motooo. Akiwa kwenye tv we vua chupi yako huko huko kaka chumbani au jikoni utakua wewe, unaenda pale unamkalia unamgusisha mkono humu ndani kufuli hamna lazima akupe mambo. Na kweli nikamkuta kwenye tv, nikashindwa kumkalia direct, nikaa kwanza pembeni, kukusanya nguvu na kumpima temperature. Nikaona iko vizuri nikaanza kwanza kumbusu busu nikaona anaelekea, wapi nisimkalie fastaa, na kumgusisha mikono, kwenye gauni ajue duka la mzungu li wazi kabisaa leo. Kungwi hakoseiii. Akadataaa. Pale pale kwenye kiti akanipa mambo ya hatari, basi kupania nampa viuonoo, na tumbo kikishaanza kuwa gumu, anakataza utamuumiza mtoto hivi hivi tamu. Alidataaa. Usiku tena kingine kitandani, nikamwambia natka niache kazi. Ikatibua mambo yoteee.

Uache kazi mtot tutamleaje atakula nini? Mimba sio ugonjwa, Mimi sio Amar, hapa utafanya kazi mpaka utafurahi, watot wa 3 utazaa na kazi utafanya. Maisha magumu, mishahara midogo usifanye kazi vipi sasa. Akanuna akaenda chumbani kwake. Kesho sikununa na mimi, nikaamka asubuhi nikampikia chai nzito, nikampasia nguo, alivoamaka akajistukiaaa, akaanza kuongea. Kungwi huyo, mkibishana sio ndo unanunaa, wewe mwanamke unajushusha wanaume wepesi, ukishuka nae anashuka.

Kazini ananiuliza unaendeleaje. Nikamwambia naenda kwa Dr wangu leo. Akadakia nakuja kukupeleka, inatakiwa tuwe tunaenda wote. Tobaaaaaaaaaaaaa. Nikachoka mwili naroho. Nimelikoroga. Kwa Dr kule mimba ni wiki 12 huku Afande anajua mimba ina wiki 8 au 9. Mmmmmh kimbembe. Nafanyaje mie. Dr. mwenyewe muhindi yule professional huwezi hata kumpa hela kumfunga mdomo. Tobaaa.

ITAENDELEA KESHO SAA 10 JIONI
 
Back
Top Bottom