Recent content by mkayera

  1. M

    JamiiForums Tanzania Majeshi yetu Anzieni hapa

    Wageni kuishi nchini bila utaratibu ni hatari kwa taifa, nchi yetu kwa muda mrefu imekuwa kimya kana kwamba jambo hili ni dogo na halina maana, hapa inatakiwa msako nchi nzima, lakini pia Uhamiaji waliohusika wasiachwe, nao wawajibishwe kama kweli Serikali imekerwa na hili tatizo la wageni holela.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bill Clinton atembelea tena Tanzania

    Ni kweli hiyo taarifa ya kuwepo kwa Bill Clinton nimeipata kupitia Breaking News ya Mwananchi kama ulivyoiandika hapo, ametembelea miradi inayofadhiliwa na kusimamiwa na Plan International maeneo ya Vingunguti, na atakutana na akina mama wa Vikoba anaowafadhili, kama kuna mengine kuhusu ziara...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Kikwete Mwisho wa Mwezi Julai: Amjibu Kagame!

    Alichokifanya Kagame ni kutaka kuwafunga mdomo viongozi wenzake wasijadili mambo ya msingi yenye faida au hasara kwa umoja wa Afrika Mashariki, anajenga mazingira ya viongozi hao kuwa wanafiki kwenye vikao vyao badala ya kuambiana ukweli lakini pia hali hii itaondoa ujasiri wa kukosoana...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    Ujumbe wa Pinda kushitakiwa haukurushwa na LHRC kama mtoa mada alivyonukuu, bali ni Breaking News kutoka Mwananchi, umetumwa leo mchana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    Ujumbe wa Pinda kushitakiwa haukurushwa na LHRC kama mtoa mada alivyonukuu, bali ni Breaking News kutoka Mwananchi, umerushwa leo mchana.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    Ujumbe wa Pinda kushitakiwa haukutumwa na LHRC kama mtoa mada alivyonukuu bali ni Breaking News kutoka Mwananchi, umerushwa leo mchana.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    Ujumbe huu wa Pinda kushitakiwa haukurushwa na LHRC kama mleta mada alivyonukuu, bali ni Breaking News ya Mwananchi, umerushwa leo mchana.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    Ujumbe huu wa Pinda kushitakiwa haukurushwa na LHRC kama mleta mada alivyonukuu, bali ni Breaking News ya Mwananchi umerushwa leo mchana.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TBC mnatuaibisha na live show

    Hilo ni tatizo kubwa kwani linapunguza ladha ya mchezo, tumekuwa tukiulizana hapa hivi bao la kwanza lilifungwa dakika ya ngapi, hakuna mtu aliyeweza kujua.
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Stars Vs Ivory Coast

    Baada ya dk 45 za kwanza; kufungwa 3-2 ni kawaida kwenye mchezo, lakini hoja ni kwamba kwa nini wachezaji wa Stars hufunga mabao mazuri sana lakini wanafungwa mabao ya kizembe sana pia? Tujadili.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

    Kumekucha, ifikapo saa nane mchana leo, Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba itazindua Rasimu ya Katiba Mpya, tukio hilo litafanyika Jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Karimjee, ni wakati wako wewe Mtanzania kuhakikisha unaipata Rasimu hiyo ili uone kama maoni yako...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

    Kumekucha, ifikapo saa nane mchana leo, Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba itazindua Rasimu ya Katiba Mpya, tukio hilo litafanyika Jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Karimjee, ni wakati wako wewe Mtanzania kuhakikisha unaipata Rasimu hiyo ili uone kama maoni yako...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji usafiri wa daladala mwenge posta, mwenge muhimbili kupitia tandale kwa mtogole

    Tunaiomba Mamlaka inayohusika na usafiri katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na wamiliki wa daladala kutuanzishia usafiri wa daladala Mwenge Posta kupitia tandale kwa mtogole na Mwenge Muhimbili kupitia Tandale kwa Mtogole, wakazi wa maeneo hayo kwenda posta au muhimbili ni lazima kuunganisha...
Back
Top Bottom