Baada ya dk 45 za kwanza; kufungwa 3-2 ni kawaida kwenye mchezo, lakini hoja ni kwamba kwa nini wachezaji wa Stars hufunga mabao mazuri sana lakini wanafungwa mabao ya kizembe sana pia? Tujadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.